Siri nyingine ya Ngeleja: Wamarekani tayari wanachimba Uranium Tunduru kisiri siri?

Mkuu hiyo uranium haina thamani kiasi hicho mpaka kampuni ya nje ya nchi irisk kuja kuchimba kisirisiri na after all lazima uelewe kuna masuala ya grade per ton. Jmani watanzania tunahitaji tuelimike kuhusu haya mambo sasa kama hata mbunge anaweza kuongea hii (kama ni kweli) basi tuna tatizo kubwa!!!!!! Uchimbaji industrialized si sawa na "uchoji" (uchimbaji wa sululu).

Uranuim yenye thamani kubwa ni ile enriched ambayo hata kuna baadhi ya nchi zilizoendelea kama Australia, Canada still wanauza raw (not enriched). Sasa mtu eti kwenda Tunduru ambako hata umeme hakuna, barabara ya lami hakuna, maji hakuna, reli hakuna halafu ikafanyika hiyo mining ya uranium is just a HOAX.

Labda Mbunge alimaanisha utafiti na sio uchimbaji, sidhani kama uchimbaji unaweza kuwa siri namna hiyo.
 
Nyie mnaopiga kelele humu JF si ndio kila kukicha mnawasifia Wamarekani kila jambo au mnakuwa pamoja wanapowashambulia Libya na Iraq. Endeleeni kuchimba miafrica ni watumwa wenu wanawababaikia, naomba wachimbe kwa nguvu mpaka yaishe yote
 
Kwa hali tuliyofikia lisemwe zuri hata la vipi, imani haipo tena na kwa viongozi wetu.Upuuzi huo tunaouona unatisha sasa je vipi yale tusiyoyajua? Na ukweli ni kwamba Tanzania inaelekea pabaya
 
Unajua mkuu ndiyo haswaa nachokiongea klakini kwa sababu watanzania tumeaminishwa there is a mix btn Uranium na Marekani basi tena hata kufikiri kunakuwa hakupo.

WaTZ kama mradi siyo wa serikali au wa Wachina, wanauona kuwa ni mradi mbovu. Ni legacy ya mawazo ya Kijamaa ambayo yamefanya tuwe watu ambao hauwezi ukafanya nao biashara.

Hebu angalia ni miradi mingapi ya ubinafsishaji iliyofeli kutokana na haya mawazo hasi dhidhi ya wafanyabiashara wa magharibi;

- ATC na SAA. Wenzetu Kenya wanafanya vizuri sana na KLM
- DAWASCO na City Water. City Water walikuwa na mpango wa kuongeza uzalishaji na usambazaji wa maji. Tumewafukuza na sasa hivi ni kula tu
- TTCL na Celtel. Kenya wako na Orange na wanapeta, lakini sisi?
- TRL na Rites. Rites ni kampuni yenye mafanikio makubwa duniani, lakini TZ imeshindikana
- TICTS. Hawa wanapigwa vita sijui mpaka wanatia huruma
- Barrick. Kampuni hii inaongoza kwa uchimbaji duniani, lakini hapa TZ wanapigwa vita
- AnglogoldAshanti. Hili ni kampuni la uchimbaji dhahabu la tatu kwa ukubwa duniani. Hapa TZ wanapigwa vita
- Resolute. Imeajiri wananzega kibao na linategemewa sana na watu wa hapo. Lakini mbunge wa Nzega analipiga vita, labda atawaajiri yeye wananzega, au atawakatia posho kama anavyosema Shibuda

Mifano ni mingi, nitajaza server. Labda nihitimishe kwa kusema kuwa WaTZ tunatakiwa tuachane na mawazo hasi dhidhi ya wawekezaji wa magharibi.
 
Naona ndugu yangu nyambala unaleta porojo humu...mtu kakuambia ameona kwa macho yake ww unakataa...nikikuambia niko na hao wachimbaji utajibu nini?
Mkuu hiyo uranium haina thamani kiasi hicho mpaka kampuni ya nje ya nchi irisk kuja kuchimba kisirisiri na after all lazima uelewe kuna masuala ya grade per ton. Jmani watanzania tunahitaji tuelimike kuhusu haya mambo sasa kama hata mbunge anaweza kuongea hii (kama ni kweli) basi tuna tatizo kubwa!!!!!! Uchimbaji industrialized si sawa na "uchoji" (uchimbaji wa sululu).

Uranuim yenye thamani kubwa ni ile enriched ambayo hata kuna baadhi ya nchi zilizoendelea kama Australia, Canada still wanauza raw (not enriched). Sasa mtu eti kwenda Tunduru ambako hata umeme hakuna, barabara ya lami hakuna, maji hakuna, reli hakuna halafu ikafanyika hiyo mining ya uranium is just a HOAX.
 
Their days are numbered, tutaanza kufungana hapa hakuna vha ofisa kuwekewa kinga kama alifanya madudu wakati wa utawala wake- hilo watawala walijue!
 
uxc_g_u3o8-sm-2.png
t
Latest price (July 11) -
U[SIZE=-2]3[/SIZE]O[SIZE=-2]8[/SIZE] Price [SIZE=-2](lb)[/SIZE][[SIZE=-1]+1.00[/SIZE]][[SIZE=-1]+0.71[/SIZE]]

$53.75
€38.32
 
kwa taarifa tu kikwete aliwapa baraka zoteee so mkisema ngeleja mwanzeni na huyu kwanza wacha hiyo kuna wachina awana kibali wanachimba mtwara na wamejenga bwawa kubwa la uchafu karibu na makazi ya watu na wananchi wamelalamika mkuu wa mkoa na wilaya wameamua kuingia kwenye payroll shuguli wewe wachimba nini??
 
Naona ndugu yangu nyambala unaleta porojo humu...mtu kakuambia ameona kwa macho yake ww unakataa...nikikuambia niko na hao wachimbaji utajibu nini?

Duh! hapa ndiyo wabongo huwa mnanimaliza haya mkuu good luck!!!!!!
 
Nyie mnaopiga kelele humu JF si ndio kila kukicha mnawasifia Wamarekani kila jambo au mnakuwa pamoja wanapowashambulia Libya na Iraq. Endeleeni kuchimba miafrica ni watumwa wenu wanawababaikia, naomba wachimbe kwa nguvu mpaka yaishe yote

Mkuu vipi? mambo ya Iraq na Libya yameingiaje humu? Au nako kuna Uranium?
 
Hapa point ni kuwa tuwe serious na resources zetu and be accountable as well as transparance itawale ata kama ni exploration tuu tujue
 
Hapa point ni kuwa tuwe serious na resources zetu and be accountable as well as transparance itawale ata kama ni exploration tuu tujue

Hapa umemaliza mkuu, lakini hii ya kusensitize na obsessions kuhusu mining haitatusaidia na wawekezaji wanafurahi sana wanapoona magazeti yetu na viongozi wetu wanatoa porojo zisizo na facts wakati wamesaini mikataba ya kipuuzi. Kwani mwisho wa siku mkijadili haya masuala kitalaam tutajikuta tunakuwa loosers tu!
 
Unajua mkuu ndiyo haswaa nachokiongea klakini kwa sababu watanzania tumeaminishwa there is a mix btn Uranium na Marekani basi tena hata kufikiri kunakuwa hakupo.
Mkuu Nyambala,
Kuna Nchi kule Africa Magharabi kama sikosei Niger, uranium yake iliwatikisa wakubwa kule Marekani. Silikumbuki vizuri suala lenyewe lakini kwa kuwa hii ni JF tuelimishane
 
Tatizo naloliona kwa watanzania walio wengi ni kwamba wako obsessed mno na hiyo uranium but for a fact liganga, mchuchuma ndiyo haswaa kunaweza kufanyika serious mining ya kututoa watanzania. Coal na iron ore deposit ya pale ina thamani kuliko proven reserves zote za gold Tanzania ukichanganya na ile iliyochimbwa na kuuzwa pia.

Wakuu Niger kuna uranium ya kufa mtu na imeanza kuchimbwa miaka kibao, vipi wamefaidika nini ulifanya comparison say hata na Equatorial Guinea au Angola. Kuna uranium kibao Namibiana imeanza kuchimbwa siku nyiingi. Ukija South Africa ya kumwaga, lakini hata siku moja SA wakiwa wanazungumzia mining industry hawaifikirii hata kuifikiria. There's huge deposits of uranium in Australia na inachimbwa miaka kibao. LAKINI "THE MOTHER OF ALL MINING INDUSTRY NI COAL NA IRON ORE".

Wawekezaji wa coal wameliona hilo na wanajua watanzania tunapuuzia na hatujui kitu kuhusu coal, si inaitwa mkaa, hivyo hapa tutapigwa bao balaaaa!!!! Lakini kama tungekuwa taifa serious coal mining ndiyo tungeikazania kwa sasa.

kaka hivi unajua moja na moja unapata mbili na hauwezi kupata mbili bila kupitia moja,hayo madini unayodai ni kidogo ndio baadhi ya vyanzo vya mapato yetu kaka jamaa wanachimba bila kulipa kodi madhara ya mazingira yote hayo hauyaoni to be honest nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri hata elimu yako ulionayo kama kweli umesoma nina wasiwasi nayo,
 
mkuu ndiyo maana nimeanza kwa kusema uranium haina bei kiasi hicho, in short kwa mazingira yale huwezi ku-make profit. Kakola, buhemba na nyamongo zote ziko less than 100km kutoka barabara ya lami au reli. Na pia the finished product (gold) inasafirishwa kwa ndege.

Sababu nilizotaja ndiyo haswaa zimefanya kabanga nickel isianzishwe mpaka leo!!!!

jamani.... Kama hiyo uranium haina dili kiiiiivyo hawa wazungu wanakuja kutafuta nini kwetu? Hatudanganyikiiiiiiiiiiiii
 
kaka hivi unajua moja na moja unapata mbili na hauwezi kupata mbili bila kupitia moja,hayo madini unayodai ni kidogo ndio baadhi ya vyanzo vya mapato yetu kaka jamaa wanachimba bila kulipa kodi madhara ya mazingira yote hayo hauyaoni to be honest nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri hata elimu yako ulionayo kama kweli umesoma nina wasiwasi nayo,

Mkuu nakubaliana kabisa na wewe lakini kinachoongelewa hapo ni uzushi, uchimbaji commercial huwa haufanyiki kienyeji namna hiyo. What do they loose wakifanya openly?, maana mikataba ndiyo ile ile ya Buzwagi, Bulyanhulu, Resolute etc.
 
Jana mbunge wa viti maalim (CHADEMA) Naomi Amy Kaihula kasema kuwa kuna kampuni ya Kimarekani inachomba Uranium kisirisiri (clandestinely) katika wilaya ya Tunduru .

Alisema kaona kwa macho yake uchimbaji ukiwa unaendelea. Sasa cha kujiuliza mbona hili hatuna habari nalo? Mkataba wake ulisainiwa lini? environmental impact assessment ilifanywa na nani? Mkataba una worth how much? serikali inapata kiasi gani?

Lakini sitoshangaa kusikia kama huu ulikuwa ni mchongo wa BILIONEA Jairo na dumber mwenzie Ngeleja.

Why keep it secret? kwa nini wananchi hawajulishwi kinachoeendelea ndani ya maeneo yao? Hivi law & order iki break katika mazingira haya serikali itajibu nini?

Habari ndio hiyo
Mkuu, nadhani kinachoendelea hapo ni prospecting tu lakini kwa kutojua huyo shuhuda ameona kama kuna uchimbaji.
 
kaka hivi unajua moja na moja unapata mbili na hauwezi kupata mbili bila kupitia moja,hayo madini unayodai ni kidogo ndio baadhi ya vyanzo vya mapato yetu kaka jamaa wanachimba bila kulipa kodi madhara ya mazingira yote hayo hauyaoni to be honest nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri hata elimu yako ulionayo kama kweli umesoma nina wasiwasi nayo,

Mwana Mnyonge nakuhakikishia kuwa Nyambala anauelewa mkubwa sana kuhusu tasnia ya Migodi. mimi simjui Nyambala lakini nimesoma posts zake kwenye hii mada na nimekubali kuwa anauelewa mzuri. Yuko tofauti sana na wewe ambayo unaongea kijiwenijiweni zaidi.

Lakini hebu tujikite kwenye post yako hii. Hivi hizi kodi mnazopigia debe, unajua zinatumikaja hata. Unajua kuwa zinaishia kwenye mashangingi na posho za kulala bungeni? Ungenifurahisha zaidi kama ungeongelea ajira zinazopatikana na migodi badala ya kukimbilia kuimba wimbo pekee mnaoujua wa kodi, kodi, kodi...
 
Mkuu vipi? mambo ya Iraq na Libya yameingiaje humu? Au nako kuna Uranium?
Mkuu, naona ujui habari za Uranium Weapons watu wamepata matatizo makubwa Iraq watoto wanazaliwa na matatizo makubwa watu wamepata cancer na magonjwa ya kutisha. Ukipata muda soma habari za Uranium weapons
 
Back
Top Bottom