Mkuu nchi imeshabadilika. Nimeona watu walivyoipokea taarifa ya Kova ukizingatia kuwa wengi walikuwa wanaangalia TV wakati Lissu anasoma hotuba yake bungeni. Hata mtu wa kijiweni huwezi kumdanganya kwa hili.Huu ni mchezo wa kitoto sana, na kwa Tanzania tusivyokua na akili tutaliamini na hili na tutaliacha lipite hivi hivi!!