Kova uko wapi?
Huyo jamaa mkenya wala
sio muhusika wa tukio nahisi. Tokea lini muhusika akaenda kujisalimisha
kiulaini namna hiyo?. Huu ni mchezo ambao Usalama wa Taifa wamepanga
kuucheza kwa nia ya kuficha kilichotokea na wahusika halisi wa
tukio.
ficha upumbavu wako wewe ***** wapi walioripoti ccm imeusika uzuri jamaa kaenda kanisan kujisalimisha we unaleta maswala ya kijinga jinga hapa serikal aina dini.jitaid uonekane umesoma we pimbi ,jitu zima njaa zinakufanya unajirudisha utoto kumbuka unategemewa na jamaa zako usiuze u2 wako 2cheep fku
Nashindwa kuelewa.. Inakuaje mtu uliye juu katika ngazi UOFISA. Tena Kanda Maalum..
Uliyetokea kukubalika na Kuheshimika kwa Wananchi na Kuwa sehemu ya Imamni yao kwako,
Unageuka MBUMBUMBU NA MCHANGA katika kufikiri kiasi hiki..
KOVA!!!! Kamanda ambaye ulijizolea Sifa kubwa kwa Operesheni zako za ukweli... Lakini sasa UMEKUBALI KUNUNULIWA KIRAHISI KIASI HIKI?
SASA!!!!
Tambua umekua miongoni mwa WALAANIWA ktk Taifa hili..
Tambua kuwa umekua Watanzania wa leo ni si wale wa MIAKA ILEEE ya 60.... WANAJUA UIGIZAJI HUU UNAOUFANYA.....
Aibu yako HII...
Kinachoniudhi ni jinsi akili za watanzania zinavyofanywa kuwa viza kila na siku na vyombo vya usalama. Polisi waliwezaje kumfikisha huyo mtu mahakamani with story kama hiyo, inanikumbusha yuke Dumisani Dube, aliyemgonga marehemu Sokoine. Huu mchezo wa kuua watu haujaanza juzi, umeanza siku nyingi na wanapandikizwa watu wa kutoka nje, huyu mkenya kapandikizwa kama alivyopandikizwa Dumisani Dube aliyetokea ANC ya South Africa
Tangu lini jambazi, mwenye kikundi cha ujambazi, anayejihusisha na silaha, ajisalimishe kwa tukio kama la Ulimboka ambaye wala hajafa.Kama ni jambazi sugu, amefanya mangapi makubwa kabla, why atubu kwa hili tukio moja tu. Kama ni kujisalimisha, aliacha makanisa mangapi hadi aende hilo? mbona hakwenda polisi? Polisi sio vyema kuwafanya watanzania viazi kiasi hicho, it is shameful kwa nchi kama Tanzania kuwa na jeshi la polisi lenye kuwafanya watanzania wapumbavu
Pastor Mwansasu alikuwa Criminal wa kutumia Machine gun, lakini alizisalimisha kwenye counter ya polisi Mbeya baada ya Kutubu, Record ipo. Pastor Lusekelo aliacha U-Gangster na madawa baada ya kutubu Record ipo Iringa. Pastor Mwiru huyu alikuwa 'Super' Maana alikuwa na Skeleton Master-Key zenye uwezo wa kufungua mageti yote. Baada ya kutumikia kifungo akatubu na amekabidhi zana zote kwa Polisi Nairobi Record ipo,ERASTO SYL Tangu jana nilikuwa nataabika akilini kuwaza ni majambazi sugu wangapi wanakwenda makanisani kufanya confession na kisha kuwa waumini wazuri tu wa makanissa bila taarifa zao kuripotiwa polisi. Why this time!
Yule mkenya anayedaiwa kumteka Dr. Ulimboka na kisha kujisalimisha kwa mchungaji Gwajima hakwenda kutubu. Katika mahojiano kati ya mtangazaji Rita Chiwalo na mmojawapo wa wachungaji wa kanisa la Ufufuo na Uzima (anaitwa Gwandu Mwangasa) , mtu huyo alifika jana kanisani hapo na kukutana na baadhi ya wachungaji akitaka apelekwe kuonana na mchungaji Gwajima. Wachungaji hao walikataa katakata kumruhusu mtu huyo mpaka pale atakapowaeleza sababu hasa ya kutaka kuonana na Mchungaji wao mkuu. Ndio mkenya yule alipodai kuwa anajambo la kumweleza mchungaji Gwajima kwa vile ndiye aliyemteka Dr. Ulimboka.
Baada ya kusikia hivyo wachungaji wale walistuka na kuamua kumkagua simu yake na kukuta ujumbe unaosema "nimefika lakini bado najaribu kuwazoea." Ni ujumbe huu ndio uliopelekea wachungaji wale kumtilia mashaka mtu yule na kumwona si wa kawaida hivyoo kuamua kumripoti polisi. Pia mtu huyu hakwenda kanisani pale kutubu zaidi ya kujitambulisha tu kuwa ndiye mtekaji. Ndipo wachungaji wale wakaona suala lile si la kikanisa tena bali la polisi.
Katika hatua nyingine mchungaji huyo ametoa onyo dhidi ya watu wanaofanya usanii makanisani kwa lengo la kufanikisha mipango ya makundi fulani. Ameonya dhidi ya dhihaka zinazofanywa katika nyumba za ibada kwa malengo binafsi na kuwa wanaofanya hivyo wanachuma laana. Amesisitiza kuwa ule ujumbe wa simu unaashiria mtu yule alikuwa na ajenda ya siri.
Ssource: WAPO radio FM.
My take... You be a judge!
ficha upumbavu wako wewe ***** wapi walioripoti ccm imeusika uzuri jamaa kaenda kanisan kujisalimisha we unaleta maswala ya kijinga jinga hapa serikal aina dini.jitaid uonekane umesoma we pimbi ,jitu zima njaa zinakufanya unajirudisha utoto kumbuka unategemewa na jamaa zako usiuze u2 wako 2cheep fku