mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
nyie vibaraka wa CCM mnanikeeera sa hvi mana mmevamia JF kwa fuuujo saaana afu mnaonyesha dhahiri hamna akiliUna uhakika?
nyie vibaraka wa CCM mnanikeeera sa hvi mana mmevamia JF kwa fuuujo saaana afu mnaonyesha dhahiri hamna akiliUna uhakika?
Anyways ninapenda sana kuchek hizo typing errors LAKINI kama hiyo ni typing error basi kiboko:
1. Mara nyingi ukisoma maelezo ukakuta typing error, tegemea kukuta errors nyingine
2. Umbali kati ya b na t yaani kuandika mtu, na mbu katika keyboard daah haiingii akilini,,, ingekuwa myu, mru, mgu, somewhere near t kidogo ningeamini amini.
3. Hilo neno ni mbu na liko sahihi kabisa
Wakuu.
Wewe na mleta mada,hapa mumekusudia kuchekesha watu na kuwaudhi baadhi.
Ukisoma kwa kutulia hiyo sentensi basi ni typo error....mbu...mtu.
Tumecheka kidogo. Wenyewe wataliona kosa na webmaster wao atarekebisha.
Vizuri umewafikishia ujumbe.
Sio typing errorKama ni typing error, kidogo nitapunguza woga dhidi ya CCM.
Aisee hii kali sana yaani katika kutumia lugha ya picha wameona mbu ndo anafaa. Si bora wangetumia nyuki au mchwa ambao n wadudu hufanya kazi kwa bidii na ushirikiano mkubwa.
Mbu yuko mstari wa mbele kuleta magonjwa. Nadhani watairekebisha siku si nyingi
Mtikilia yeye anasema alama za jembe na nyundo za CCM kazi yake ni
- Nyundo inakugonga kichwani mpaka unakufa
- Jembe - kazi yake ni kufukia na kuzika.
Bora wabadilishe nazo hizo waweke picha ya trekta na .....
Nimekuwa nafuatilia masuala ya CCM ni kwanini viongozi wake wengi wanakumbwa na tuhuma za ufisadi??? Nimeingia kwenye website yao nimesoma masharti ya uanachama ndani ya CCM ni pamoja na kuwa "mbu". Moja ya masharti ya uanachama CCM inasomeka hivi:
Kuwa mtu anayependa kushirikiana na wenzake. Kuwa mbu ambaye siku zote yuko mstari wa mbele katika utekelezaji wa mambo yote ya umma, kulingana na miongozo ya CCM.
Kwa uelewa wangu mtu mwenye tabia za mbu ni mnyonyaji na hafai katika jamii hivyo, huenda wanachama wake wanatimiza hili sharti.
Aleast sasa sitoweza kumlaumu Lowasa, Rostam wala Kalamagi ila CCM yenyewe ibadilishe masharti yake.
Source:Chama Cha Mapinduzi - CCM
Aisee hii kali sana yaani katika kutumia lugha ya picha wameona mbu ndo anafaa. Si bora wangetumia nyuki au mchwa ambao n wadudu hufanya kazi kwa bidii na ushirikiano mkubwa.
Mbu yuko mstari wa mbele kuleta magonjwa. Nadhani watairekebisha siku si nyingi
Mtikilia yeye anasema alama za jembe na nyundo za CCM kazi yake ni
- Nyundo inakugonga kichwani mpaka unakufa
Bora wabadilishe nazo hizo waweke picha ya trekta na .....
- Jembe - kazi yake ni kufukia na kuzika.
Asante lakini moyoni kwako hakuna jema, nyie ndo wale hata ukitendewa mema miamoja lakini kwa bahati mbaya ukatendewa baya moja tuu unasahau yooote
Nimekuwa nafuatilia masuala ya CCM ni kwanini viongozi wake wengi wanakumbwa na tuhuma za ufisadi??? Nimeingia kwenye website yao nimesoma masharti ya uanachama ndani ya CCM ni pamoja na kuwa "mbu". Moja ya masharti ya uanachama CCM inasomeka hivi:
Kuwa mtu anayependa kushirikiana na wenzake. Kuwa mbu ambaye siku zote yuko mstari wa mbele katika utekelezaji wa mambo yote ya umma, kulingana na miongozo ya CCM.
Kwa uelewa wangu mtu mwenye tabia za mbu ni mnyonyaji na hafai katika jamii hivyo, huenda wanachama wake wanatimiza hili sharti.
Aleast sasa sitoweza kumlaumu Lowasa, Rostam wala Kalamagi ila CCM yenyewe ibadilishe masharti yake.
Source:Chama Cha Mapinduzi - CCM
HAHAHAHAH..... JAMANI ACHENI UCHOKOZI!
Ila CCM na wengineo wawe na utaratibu wa kupitia maandishi yako kabla ya kuyatoa hewani!
Unarukia mada bila hata kutafakari nini konaweza kukuta kisheria, hivi huoni kwamba mtoa mada amekitukana chama kwa kutoa maneno ya kichochezi? hata chama kikiwa hovyo vipi hakiwezi kikawa na sharti kama hilo.
Nimekuwa nafuatilia masuala ya CCM ni kwanini viongozi wake wengi wanakumbwa na tuhuma za ufisadi??? Nimeingia kwenye website yao nimesoma masharti ya uanachama ndani ya CCM ni pamoja na kuwa "mbu". Moja ya masharti ya uanachama CCM inasomeka hivi:
Kuwa mtu anayependa kushirikiana na wenzake. Kuwa mbu ambaye siku zote yuko mstari wa mbele katika utekelezaji wa mambo yote ya umma, kulingana na miongozo ya CCM.
Kwa uelewa wangu mtu mwenye tabia za mbu ni mnyonyaji na hafai katika jamii hivyo, huenda wanachama wake wanatimiza hili sharti.
Aleast sasa sitoweza kumlaumu Lowasa, Rostam wala Kalamagi ila CCM yenyewe ibadilishe masharti yake.
Source:Chama Cha Mapinduzi - CCM
Hizo ni TAMBO mwenye KUSHINDWA na aliyefilisika kisera.
Je kuna asiyejua kuwa kuna kughafirika na kusahau ambazo ni sifa kuu za mwanadamu?
Acha mambo hayo. Msituletee balaa bure. wacheni tutese