Siri kubwa CCM!!!

Anyways ninapenda sana kuchek hizo typing errors LAKINI kama hiyo ni typing error basi kiboko:
1. Mara nyingi ukisoma maelezo ukakuta typing error, tegemea kukuta errors nyingine
2. Umbali kati ya b na t yaani kuandika mtu, na mbu katika keyboard daah haiingii akilini,,, ingekuwa myu, mru, mgu, somewhere near t kidogo ningeamini amini.
3. Hilo neno ni mbu na liko sahihi kabisa

Upo sahihi kabisa neno ni mbu hata jk hotuba zake ni za mbu mbu na mbu huwa hawachoki kunyonya matumbo hupasuka lakini wanaendelea kunyonya wanahofia Dawa ya rungu kutoka chadema usiwapulize.. Mie nadhani yakianza machafuka dunia nzima itakuwasaport watanganyika kwani wanajua kilio chao cha maendeleo na maisha bora... JK.(Juma kilaza) Ondoka fasta tushakuchoka watutishia kutuua raisi gani wewe icc ipo ila sie tutaku saadam hapa hapa wenyewe mbu bado siku chache ili siku tisa ziishe. jiondoe ushauri wangu wa bure mapema
 
Wakuu.
Wewe na mleta mada,hapa mumekusudia kuchekesha watu na kuwaudhi baadhi.
Ukisoma kwa kutulia hiyo sentensi basi ni typo error....mbu...mtu.
Tumecheka kidogo. Wenyewe wataliona kosa na webmaster wao atarekebisha.
Vizuri umewafikishia ujumbe.

Kama ni typing error, kidogo nitapunguza woga dhidi ya CCM.
 
Aisee hii kali sana yaani katika kutumia lugha ya picha wameona mbu ndo anafaa. Si bora wangetumia nyuki au mchwa ambao n wadudu hufanya kazi kwa bidii na ushirikiano mkubwa.

Mbu yuko mstari wa mbele kuleta magonjwa. Nadhani watairekebisha siku si nyingi

Mtikilia yeye anasema alama za jembe na nyundo za CCM kazi yake ni

  • Nyundo inakugonga kichwani mpaka unakufa

  • Jembe - kazi yake ni kufukia na kuzika.

Bora wabadilishe nazo hizo waweke picha ya trekta na .....

nimesikia wanaplan kuweka kisu na uma
 
Nimekuwa nafuatilia masuala ya CCM ni kwanini viongozi wake wengi wanakumbwa na tuhuma za ufisadi??? Nimeingia kwenye website yao nimesoma masharti ya uanachama ndani ya CCM ni pamoja na kuwa "mbu". Moja ya masharti ya uanachama CCM inasomeka hivi:

Kuwa mtu anayependa kushirikiana na wenzake. Kuwa mbu ambaye siku zote yuko mstari wa mbele katika utekelezaji wa mambo yote ya umma, kulingana na miongozo ya CCM.

Kwa uelewa wangu mtu mwenye tabia za mbu ni mnyonyaji na hafai katika jamii hivyo, huenda wanachama wake wanatimiza hili sharti.

Aleast sasa sitoweza kumlaumu Lowasa, Rostam wala Kalamagi ila CCM yenyewe ibadilishe masharti yake.

Source:Chama Cha Mapinduzi - CCM


HAHAHAHAH..... JAMANI ACHENI UCHOKOZI!
Ila CCM na wengineo wawe na utaratibu wa kupitia maandishi yako kabla ya kuyatoa hewani!
 
Inaonyesha wasivyo makini na hawaisomi,mtu kapewa deal kawalipulia mzigo katambaa na chake...ndio maana hata katiba na mikataba ina mapungufu na wanatetea kwa kuwa hawasomi
 
Aisee hii kali sana yaani katika kutumia lugha ya picha wameona mbu ndo anafaa. Si bora wangetumia nyuki au mchwa ambao n wadudu hufanya kazi kwa bidii na ushirikiano mkubwa.

Mbu yuko mstari wa mbele kuleta magonjwa. Nadhani watairekebisha siku si nyingi

Mtikilia yeye anasema alama za jembe na nyundo za CCM kazi yake ni

  • Nyundo inakugonga kichwani mpaka unakufa
  • Jembe - kazi yake ni kufukia na kuzika.
Bora wabadilishe nazo hizo waweke picha ya trekta na .....

Alama zao ni hizi hapa!!


avatar12347_1.gif
 
yapi hayo mema miamoja??
Hivi serikali yetu inatutendea au ni wajibu wake???
sisi tumewaweka madarakani ili watutumikie na wakishindwa basi waondoke waingie wengine
Asante lakini moyoni kwako hakuna jema, nyie ndo wale hata ukitendewa mema miamoja lakini kwa bahati mbaya ukatendewa baya moja tuu unasahau yooote
 
Nimekuwa nafuatilia masuala ya CCM ni kwanini viongozi wake wengi wanakumbwa na tuhuma za ufisadi??? Nimeingia kwenye website yao nimesoma masharti ya uanachama ndani ya CCM ni pamoja na kuwa "mbu". Moja ya masharti ya uanachama CCM inasomeka hivi:

Kuwa mtu anayependa kushirikiana na wenzake. Kuwa mbu ambaye siku zote yuko mstari wa mbele katika utekelezaji wa mambo yote ya umma, kulingana na miongozo ya CCM.

Kwa uelewa wangu mtu mwenye tabia za mbu ni mnyonyaji na hafai katika jamii hivyo, huenda wanachama wake wanatimiza hili sharti.

Aleast sasa sitoweza kumlaumu Lowasa, Rostam wala Kalamagi ila CCM yenyewe ibadilishe masharti yake.

Source:Chama Cha Mapinduzi - CCM

Duh kumbe unyonyaji ni sehemu ya masharti ya kuwa mwanachama wa CCM?
 
Unarukia mada bila hata kutafakari nini konaweza kukuta kisheria, hivi huoni kwamba mtoa mada amekitukana chama kwa kutoa maneno ya kichochezi? hata chama kikiwa hovyo vipi hakiwezi kikawa na sharti kama hilo.

:rain:HOJALESS:rain:
 
Nimekuwa nafuatilia masuala ya CCM ni kwanini viongozi wake wengi wanakumbwa na tuhuma za ufisadi??? Nimeingia kwenye website yao nimesoma masharti ya uanachama ndani ya CCM ni pamoja na kuwa "mbu". Moja ya masharti ya uanachama CCM inasomeka hivi:

Kuwa mtu anayependa kushirikiana na wenzake. Kuwa mbu ambaye siku zote yuko mstari wa mbele katika utekelezaji wa mambo yote ya umma, kulingana na miongozo ya CCM.

Kwa uelewa wangu mtu mwenye tabia za mbu ni mnyonyaji na hafai katika jamii hivyo, huenda wanachama wake wanatimiza hili sharti.

Aleast sasa sitoweza kumlaumu Lowasa, Rostam wala Kalamagi ila CCM yenyewe ibadilishe masharti yake.

Source:Chama Cha Mapinduzi - CCM

Hizo ni TAMBO mwenye KUSHINDWA na aliyefilisika kisera.
Je kuna asiyejua kuwa kuna kughafirika na kusahau ambazo ni sifa kuu za mwanadamu?

Acha mambo hayo. Msituletee balaa bure. wacheni tutese
 
Hizo ni TAMBO mwenye KUSHINDWA na aliyefilisika kisera.
Je kuna asiyejua kuwa kuna kughafirika na kusahau ambazo ni sifa kuu za mwanadamu?

Acha mambo hayo. Msituletee balaa bure. wacheni tutese

Binadamu siyo maraika, huwa tunaghafirika na kusahau lakini inapotokea chama kinaghafirika na kuhimiza tabia za unyonyaji kwa wanachama wake badala ya maendeleo ya wote ni lazima tushituke
 
CCM ni Nzi wa chooni (wale wa kijani). Wanapenda mabo yalooza sana.
 
...ni kosa la kutype jamani achaeni kukuza mambo, mnaishusha hadhi hii forum, kila mtu aje tu hapa apost kitu na atushughulishe bila mantiki, ndio hatuipendi ccm lakini tuwe makin...ilitakiwa isomeke..MTU na sio MBU....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom