Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
yah man....Mi wanawake waongo adhabu yao ni talaka tu pale pale uhusiano unakufa moja kwa moja kwa nini anidanganye mi siku zote ni mkweli na hii inanisababishia kukosa mashori.
yah man....Mi wanawake waongo adhabu yao ni talaka tu pale pale uhusiano unakufa moja kwa moja kwa nini anidanganye mi siku zote ni mkweli na hii inanisababishia kukosa mashori.
mambo ya biharamulo mkuu.....Mpwa vp umebanwa nini sikuoni sana siku hizi.
nani anajali?kijana aambiwe kuwa AMAPATA MKE BORA na atangaze ndoa fastaaaaaa....
mambo ya biharamulo mkuu.....
Hivi sie midume wadau mnajua tunamatatizo yetu ya ajabu sana.....kwani alivyoenda kutoa mahari amuoe anataka kutuambie WASINGEZAA WATOTO NDANI YA NDOA YAO???...kama alikuwa anataka kumwoa ili wazae naye watoto basi ANATAKIWA ASHANGILIE...maana mama ameonyesha uwepo wa uzazi..na hasa zaidi mbegu bora inayozaa wawili-wawili....
Matatizo yetu midume yanaanzia hapa.....UKIMWOA MWANAMKE NA HANA UZAZI....UGOMVI MANYANYASO MATUSI KERO TALAKA .......ndani ndio hapakaliki tenaaa.....
kijana aambiwe kuwa AMAPATA MKE BORA na atangaze ndoa fastaaaaaa....ZAENI MKAONGEZEKE MKAIJAZE DUNIA....au asichopenda yeye ni kutoambiwa mapema kuwa nimeshazaa watoto???.....ni muda tuu...inawezekana jamaa aliharakisha ndoa...wangekaa uchumba kwa miaka say mi3-mi5 angeambiwa tuuu....
NI MAONI YANGU TU WADAU
Wakuu mie nadhani hili jambo halina ujumla, Kikubwa zaidi ni MAPENZI its no question kwamba mwanamke si mwaminifu kabisa na wote tunajua uaminifu ni nguzo kuuu kwenye mahusiano yaliyo thabiti.huyo mwanamke alitakiwa amwambie ukweli jamaa na amwachie jamaa aamue na sio kumficha kwa kisingizio eti angejua angemkacha, ila tusisahau pia Love conquers all, kwenye mapenzi kila kitu kinawezekana hata ambavyo vinaonekana haviwezekani vinawezekana , so swala hapa ni kiasi gani jamaa anampenda huyo mwanamke, je! anampenda sana kiasi kwamba anaweza kumsamehe hiyo deceit? au hawezi kumsamehe?. Kama anaweza kumsamehe na yuko tayari kubeba hiyo resposibility ya watoto mie naona aendelee nae, ukizingatia watu huwa wanabadilika for better na hy mwanamke anaweza kubadilika, na pia inadepend alimficha kuhusu watoto kwenye mazingira yapi?.
Kama anaona hawezi kumsamehe kwa kweli asijilazimishe he better call off the wedding plan na achukue hamsini zake. coz hata akimuoa hiyo ndoa itakuwa ya maumivu na majuto.
SO MWISHO WA SIKU ANAYEWEZA KUAMUA NI YEYE COZ NI YEYE ANAYEWEZA KUPIMA MAPENZI YAKE NA HIYO DECEIT YA HUYO MWANAMKE
Jamaa amekuwa aki date demu kwa mda wa mwaka mzima.na ni mengi wameongea na ikafika tym ya kwenda kwa wazazi wa msichana kujitambulisha.walipofika tu,watoto wawili mapacha umri miaka minne walikuja mbio wakiita mummy.jamaa roho ilikuja mdomoni na kwa hasira akamuuliza mchumba mtarajiwa mbona hukunieleza kwamba ulizaa?kwa kweli jamaa alikuwa amempenda huyo msichana na sasa yuko kwa njia panda.asaidiweje??