Jomse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 275
- 92
Ndugu yangu kwenye ugonjwa na matatizo watu hupoteza pesa nyingi.hyo nauli ya kwenda loliondo ni kidogo.Huko unaposema watu waende wamekuwa wakidaiwa michango mingi na mikubwa mno.Kuna watu waliodanganyika na kujikuta wakitoa mali zao na hata zile zilizokuwa zikimilikiwa na familia jambo lililopelekea mifarakano na hata ndoa kuvunjika.Mahosptal nako gharama ni kubwa sana,gharama ya kumwona specialist inafika mpaka elfu 30, magonjwa mengine yanahitaji kumeza dawa kila sikuNimeumwa magonjwa mengi sana katika maisha yangu. Lakini kwakuwa ninamwamini Yesu nimekuwa nikiliitia Jina lake na kukemea hayo magonjwa, na kwa jina hilo kuu la Yesu nimepona magonjwa mengi. Ndio maana nawahurumia Watanzania wenzangu wanaopoteza pesa(nauli) na muda wa kwenda na kukaa kwa babu wakati kuna uponyaji bure unaopatikana katika Yesu. Kama ulienda kanisani ukaombewa na hujapona huenda imani yako ni haba au labda unataka uponyaji tu lakini Yesu mwenye kutoa huo uponyaji humtaki.
Nadhani Mungu wetu ni Mungu wa upendo hapendi kuona wanadamu wanateseka ndio maana akamwonyesha huyo babu dawa,Waache waende loliondo wakapate tiba na wanaotaka huduma zaq kiroho wataenda makanisani.