The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Boss, we siku hizi unaguna sana, kulikoni?
ha haaa haa
ukiona nimeguna ujue nimekosa cha kuongeza au sikubaliani na mada...
hii topic kuna kitu kimefichwa,sidhani wanawake wanajali saana kuhusu bei za viatu
but we both know kuna mambo womens hawawezi kusema ukweli hata kama umewashikia bunduki....