Wakuu kwa kweli sipo tayari kutibiwa na daktari wa nje kwani nchi yangu TZ haipo vitani,huo ndio msimamo wangu liwalo na liwe!
Kwani ALISHAONDOKA? AMEACHA KAZI yake ile ama ni waandishi wetu wa habari hawaimuliki tena ile story?naunga hoja mkono na miguu yangu yote mitatu... bora babu arudi na kikombe chake tuu......
Kwani ALISHAONDOKA?
AMEACHA KAZI yake ile ama ni waandishi wetu wa habari hawaimuliki tena
ile story?
Inaonekana Akili yako haijakomaa!Ninyi Ndio mnauwanga makono wagomaji na Kuwaacha wananchi wanateseka!Wakuu kwa kweli sipo tayari kutibiwa na daktari wa nje kwani nchi yangu TZ haipo vitani,huo ndio msimamo wangu liwalo na liwe!
Lakini story hiyo ilikuzwa na kushabikiwa na waandishi wenyewe kitu kilichowafanya wagonjwa wengi wamiminike Samunge. Sasa hawaiadniki tena, wagonjwa wanapungua. Mzunguko usioisha!hana wateja kama awali. si habari tena!
Wakuu kwa kweli sipo tayari kutibiwa na daktari wa nje kwani nchi yangu TZ haipo vitani,huo ndio msimamo wangu liwalo na liwe!