roselyne1
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 1,366
- 93
mie mwenzenu nasuport akina da sopphy kwa mikono na miguu miwili!
its soo unrealistic kuwa kny jamii kama yetu ambayo utamaduni wa vimada ni kama fasheni afu uje na remarks kama hizi...
inawezekana hata mtoa mada,mumeo au baba yako ana vimada lukuki...
its time we gave them,respect as they deserve!!......kwa sababu km tungekuwa tuna run our homes effectively...wao wasingehitajika...
BIG UP da sophy kwa kuwa na courage ya kuja hapa jamvini na kusema uliyosema...much respect!
its soo unrealistic kuwa kny jamii kama yetu ambayo utamaduni wa vimada ni kama fasheni afu uje na remarks kama hizi...
inawezekana hata mtoa mada,mumeo au baba yako ana vimada lukuki...
its time we gave them,respect as they deserve!!......kwa sababu km tungekuwa tuna run our homes effectively...wao wasingehitajika...
BIG UP da sophy kwa kuwa na courage ya kuja hapa jamvini na kusema uliyosema...much respect!