Jpinduzi
Senior Member
- Feb 26, 2011
- 136
- 68
Heshima mbele kwanza!Week Iliopita nilikuwa natoka mahala,sasa kuna duka moja maarufu sana mitaa yetu tunayoishi sasa nikaingia hapo dukani kabla hata sijauliza kitu nachotaka simu yangu ikaita basi ikabidi niongee na simu kwanza na muuza duka akanisubiria ghafla akaja baba mmoja akaulizia neti iliyokuwa imetundikwa nje 6x6, jibu nililo sikia kutoka kwa muuza duka alisema haiuzwi.Nilipo maliza kuongea na simu nikamuuliza kweli hio net hauzwi?alichojibu kwamba mweshimiwa huoni na mtu mwenyewe?hanauwezo na hiyo neti?ataiwangia tu hapa!
Kusema ukweli nilishindwa la kufanya mtu mwenyewe alishaondoka hata pakumpata ili nimuulize kweli hanauwezo wa kuinunua au la ilishindikana kwani alikuwa ameshajichanganya kwenye kundi la watu kibao ambapo si rahisi kumpata.​
Kusema ukweli nilishindwa la kufanya mtu mwenyewe alishaondoka hata pakumpata ili nimuulize kweli hanauwezo wa kuinunua au la ilishindikana kwani alikuwa ameshajichanganya kwenye kundi la watu kibao ambapo si rahisi kumpata.​