sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Daah! Pole mpendwa, na siku hizi madaktari hawang'oi tena majino yalovimba, pole again manake nshawahi kuonja maumivu ya jino!.. Ntapita jioni kukoroga uji!Kidogo bado nimeshindwa kutolewa sababu limevimba nakunywa dawa mpaka lipungue ndo nitakwenda kutoa