hulbmbowe
Member
- Mar 12, 2014
- 96
- 36
Kwa hali ninayoiona kila siku ccm inazidi kushuka chini ni kutokana na mienendo yao ya utawala ambao haumfurahishi mtz mwenye hali yeyote... Kwa mwaka huu wa uchaguzi wajipange kisaikologia wasije kupata wabunge 5 tu hahaha maana baadhi yao ni mwendo wa kuhonga kama kawa. Na siku zote kiongozi bora wananchi wanamjua wenyewe