"Sioni hata ndoa moja ya mfano itakayonishawishi kuolewa........!"

Aache, ataendelea kumegwa tu humo barabarani wakati wenzie wana ndoa zao na wanafaudu. Yeye anadhani ndoa zote ni sawa na ya wazazi wake?
Sijui ni kwa nini watu hawaelewi kwamba kila ndoa ni unique. Ndoa yako siyo sawa na ya wazazi wako. Wewe ni tofauti kabisa na mama au baba yako, na mwenzio utakayekutana naye ni tofauti kabisa na wazazi wake. Chemistry yenu kwenye mapenzi haiwezi kuwa sawa na ya wazazi wenu. Lazima watu tujifunze ku-shape ndoa zetu kulingana na watu tunaopendana nao. Kulazimisha ndoa yako iwe kama ya wengine ni wrong perception.
 
Known as ugali in Kenya and Tanzania, this starchy, porridge-like side dish goes by different names in sub-Saharan Africa. In Malawi and Zambia it is called nsimaor nshima. The South African name for it is pap ormealie pap. Zimbabweans call it sadza.[h=3]Ingredients[/h]
  • Water  4 cups
  • Salt  2 teaspoons
  • White cornmeal, finely ground  2 cups

[h=3]Method[/h]
  1. Bring the water and salt to a boil in a heavy-bottomed saucepan. Stir in the cornmeal slowly, letting it fall though the fingers of your hand.
  2. Reduce heat to medium-low and continue stirring regularly, smashing any lumps with a spoon, until the mush pulls away from the sides of the pot and becomes very thick, about 10 minutes. Remove from heat and allow to cool somewhat.
  3. Place the ugali into a large serving bowl. Wet your hands with water, form into a ball and serve
Mmmh huyu binti anaweza kuwa mpishi hodari, nadhani hata ndizi bukoba anaweza kuzipika ntafurahi akilweka bayana.
 
Ulimwengu wa wenzetu umejaa mashetani makubwa
Wao wanaoana mpaka kwa mkataba wa miaka kadhaa (mfano miaka mitano)
Miaka mitano ikiisha let say mkawa na watoto wawili halafu mkata unaisha na hakuna ku renew hao watoto wataleleka vp?
Yaanii wamejawa mashetani kabisa
Huyo mwanamke lazima ana mapepo makubwa anatakiwa apelekwe kwa TB Joshua akaombewe........................

POINT SANA.

Tena hao wasioolewa ndio wanavunja ndoa za wenzao.
 
hakuna mapenzi yale ya kugandana ni siku za kale....mimi naimba tu hapa jamani...
nitaolewa sooon

Hee shosti, mbona kama mie....usikute ni lijamaa limoja linatuzingua, ha ha!!

Mtambuzi, kuhusu huyo dada..mimi nina maoni tofauti na maisha..huwa sifuati mkumbo au kusikilizia kwa wengine imekuwaje..ndoa A inaweza kuwa na matatizo tofauti na ndoa B mathalan hata jinsi ya kuishi pia mipango ya kifamilia kunatofautiana..

Bado nitaolewa..changamoto zipo hata kwenye haya mahusiano yetu ya kila siku!! Huyu dada hataki kukubali ni desperate ukiacha amepitia mengi..
 
Japokuwa mimi bado ndoa ni bomba tu,bcoz utakuwa ma commitment kwa mmoja! Hwa wa kuokota mara uitwe buzi, atm! Seety! Majina kibao , ubebe na ukimwi
 
Kaizer kakurofisha? Mpige chini fasta,nini bana,midume ya ukweli ipo kibao.

lolest! Bishanga my Kaizer is so darling aisee hawez kunikorofisha ila tu huyu mkoloni ndo dah!...........ananiumizaje?

hivi hamnaga shule ya kusomea ubosi tu? yaani nshachoka kuwa subordinate aisee.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom