Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Kumbe hata kwenye chama chake hakubaliki.Matokeo Arumeru Sarakikya 259 Siou Sumari 361 Elishilia Kaaya 176 Anthony Musami 22 Elilehema Kaaya 205 na Ndg Urio 11
Kwa matokeo haya alieshinda kura za maoni ni Ndg Sioi Sumari.
Je utawala wa Kifalme ndio unaendelea CCM?
Sioi =35%
Sarakikya= 25%
Elilehema = 20%
Elishilia = 17%
Anthony = 2%
Urio = 1%