Hatimaye mtoto wa Sumari (RIP) amechaguliwa na chama chake kupeperusha bendera ya CCM.
Matokeo Arumeru Mashariki (CCM):
Sarakikya 259
Sioi Sumari 361
Elishilia Kaaya 176
Anthony Musami 22
Elilehema Kaaya 205 na
Ndg Urio 11
Kwa matokeo haya alieshinda kura za maoni ni Ndg Sioi Sumari.