KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Akionekana kuelemewa na matatizo yanayolikabili jimbo la arumeru mashariki mgombea wa CCM Bw. Sioi ili kupata kura za vijana amehamua kuchukua porojo za waziri usingizi kuwa Mradi wa TASAF ambao unatarajiwa kuanza mwezi wa julai kuwa ndiyo utakuwa mwarubaini kwa ajira kwa vijana wa meru.
Kwa kifupi machali wa Arumeru hawadanganyiki na TASAF coz imekuwepo for the past five years.
Kwa kifupi machali wa Arumeru hawadanganyiki na TASAF coz imekuwepo for the past five years.