Yaani mimi nashindwa hata kuelewa, hivi kweli hawa watoto wa wakubwa wanawapenda watanzania au wanataka tu kujaza matumbo yao????!!!!Sina hakika kama huyu Sioi amewahi hata kuingia huko kwenye UVVCCM au hata kufanya shughuli zozote za jamii kweli sijui. Kwanza hata elimu yake nina mashaka nayo sijui ana elimu gani.Anyway, Mungu Tusaidie watanzania tujitambuwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.