Nilipogundua kuwa LUSINDE alihamia CCM toka CDM nkajua kwa nini alizungumza yale aliyoyasema, maama si kawaida ya CCM kuropoka ni kawaida ya vyama vya upinzani.
Hebu nipe huo ushahidi wa SIOI kutoa rushwa au kutuhumiwa kutoa rushwa labda sikuwa aware na hizo taarifa!
Nilipogundua kuwa LUSINDE alihamia CCM toka CDM nkajua kwa nini alizungumza yale aliyoyasema, maama si kawaida ya CCM kuropoka ni kawaida ya vyama vya upinzani.