TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,077
The Boss is rightJF is never boring chanzo The Boss
The Boss is rightJF is never boring chanzo The Boss
Sijawahi kupigwa bann tangu nizame humu.
Mzee wa mia, hivi kwa siku unaanzisha thread ngapi.
The Boss is right
lol,,,
JF is never boring chanzo The Boss
mods wako likizo wote mapka january 20 so unaweza watukana tuuu no ban here!!!!
St. Ivuga, hiki unachosema kina ukweli, kweli!? chit-chat hupewi ban, ngoja waje wazee watakaotaka ukweli kuwa ban ni hadi 'rejea post #5, loh
yaani kutokana na avator yako ingekuwa mimi ndo nina hilo rungu ungekula ban toka siku uliyo up load hiyo avatar yako
yaani siipendi kama nini.
Naona leo unaitaka hiyo ban kwa nguvu, na Mods wameamua kukupotezea. lol
Vipi lakini? uko salama? Mia.
Naomba nichukue jukumu la kukuchagulia ID utakayo2mia pindi upo selo. hundred.
huyu yuko hatarini zaidi mi simo ati.
Hahahaha, kama unataka ban si ndio ungechangia hapo mkuu? lolmi mwenyewe simo, hayo mambo anayo yasema nyabhingi sijui ban kisa mademu siyajui wala sijawahi yasikia. Mia
Hahahaha, kama unataka ban si ndio ungechangia hapo mkuu? lol
lol,,,
Mi siwezi kupigwa ban bwana. Nazijua sheria za JF kama nimeziandika mwenyewe. lolmi sitaki. vipi we unataka ban nimwambie fang?. Mia