Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Hehehe.... ina maana siku nyingine huwa namwaga mipumba siyo?.........(.Sasa hiyo ni bahati au bahati mbaya? Na kama kingekuwepo? Usinijibie kwa hapa nijibu kwa PM):juggle::juggle:Daaah! Katika siku ulizoongea point babu, hii mojawapo.
KBD says thank you for zis useful post...............unabahati kibatani cha kushumu hamna..........lol