kwa wale wanaosikiliza Tangazo la Malaria haikubaliki, utasikia vitoto viwili vikipiga story wakati mwalimu anafundisha , mwalimu anapogundua na kuwaita mbele kamoja kanasema, sio mimi mwalimu ni kinara huyo, inanikumbusha shule za msingi za vijiji jinsi tulivyokuwa tunasemeana kwa walimu.