Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Mi huwa namchukia sana mtu anayetumia udhaifu wa mwingine naye kujihararishia udhaifu wake, sitaki kuungana hoja hii kwa sababu hiyo tu
Mi huwa namchukia sana mtu anayetumia udhaifu wa mwingine naye kujihararishia udhaifu wake, sitaki kuungana hoja hii kwa sababu hiyo tu
Hebu tuache kuwatetea Mponda na Nkya kwa sababu wao ndo walifanya mgogoro ukalazimu madokta kugoma. Tukumbuke Dr Nkya alitafutwa kabla mgomo haujaanza matokeo yake akachagua kwenda kuongea na waandishi wa habari, hata alipofuatwa ofisini kwake na viongozi wa MAT aliishia kuwatolea maneno ya kejeli eti madokta hawana umoja hata kugoma hawawezi na serikali haitishiki. Dr Mponda naye alifuata mtindo wa msaidizi wake kwa kuita waandishi wa habari ndiyo maana pale starlight madokta waligoma kumsikiliza Mponda badala yake ikabidi Hawa Ghasia aongee kwa niaba ya wizara ya afya. Hivyo hawa ni kati ya vilaza wengi ndani ya Serikali ya JK ambao wanatakiwa kung'okaJamani tutenganishe utendaji wa kiserikali na kisiasa.
Mgogoro umesababishwa na Blandina Nyoni na mhauri
wake mkuu Dr Deo Mtasiwa. Waziri ni mtu anayeandikiwa
hotuba na taarifa mbalimbali. Jamani tuwe wakweli
tusipende tu kukurupuka rumuonee hurunma Dt Haji
Mponda na naibu wake Dr Nkya walikuwa wanafanya kazi
na KM ambaye yuko corrupt vibaya sana na ambaye
ungeshisi kama vile analindwa na mfumo wa usalama wa
nchi. Ukizisoma tuhuma za Blandina unaona zimejaa
ufisadi, ukabila na wizi wa moja kwa moja. Tuhuma hizi
ziko muda mrefu lakini Dr Haji Mponda na naibu wake
Nkya hawana tuhuma yeyote ya matumizi ya madaraka
wala ufisadi. Maamuzi mengi ambayo yamewakwaza
madaktari yamefanyika mwaka 2010 na 2011 na Blandina
Nyoni aliyekuwapo hapo tangu 2008 na Dr Mtesiwa
aliyekuwapo tangu 2006.
Mtanzania yeyote angeweza kupatwa na situation
iliyompata Dr Haji Mponda kwenye utendaji wa Nyoni.
Naomba turejee hata kwenye utawLa wa Profesa
Mwakyusa, mutakumbuka kuwa hata yeye alikuwa
anafunikwa na huyu mama. Kwa mtazamo wangu mimi
tatizo ni la mfumo wa utendaji wa serikali, kwa hiyo
napendekeza tumpe muda Dr Haji Mponda
Al islam, nasikitika kwa utetezi unaoufanya kwa hao Mawaziri. Nchi za wenzetu Mawaziri huwajibika kujiuzuluhata kwa makosa yaliyofanya na subordinates wao, hata kwetu Rais Mst Mwiniyi aliwahikufanya hivyo kwa makosa ya Askari (sio yeye binafsi) wa Wizara yake. Huyu Dk Mponda na Nkya wao wenyewe personally wanahusika na matatizi haya kufika hapo, naamini hata PM Pinda alipaswa kujiuzulu kwa kusababisha maisha ya watu kupotea maana mwanzo hakufanya jitihada za dhati kumaliza tatizo hilo bali alichochea.
mimi nawashangaa watu na taasisi zinazomkomalia waziri wa afya na naibu wake wajiuzulu kwa hako kamgomo ka wiki tatu.jaman mbona watu wengi tu wamevurunda hatuwaulizi?kwanza mwaka jana tuu,matokeo ya form 4 watoto 80% walifeli na kupata zero,waziri wa elimu anapeta hadi leo inakuwaje mumkomalie waziri wa afya ilhali waziri wa elimu hadi leo anapeta?,hata mwaka huu udanganyifu kwenye mitihani ya darasa la saba umekuwa mkubwa na unaotisha lakini hatujasikia waziri akiambiwa ajiuzulu iweje basi mgomo huu mdogo tuu ulete balaa.kwani waliokufa ni wengi kuliko wale waliokufa kwenye ajali ya meli kule zanzibar?.najua pia mtatkumbuka kuwa mabomu ya gongolamboto yalilipuka na kuleta maafa makubwa.ule ulikuwa mwendelezo wa maafa na uaribifun uliotokea mbagala na waziri husika aliyeahidi kujiuzulu kama ingebainika kulikuwa na uzembe yupo hadi leo na anapeta huku akifunika ripoti ya uchunguzi iliyomtia hatiani akiusaka uraisi kishkaji,sasa inakuwaje leo mnakomaan waziri wa afya atoke?au ndo anamzibia mgombea wenu?watanzania tuazche unafiki,kama ni kuwajibishana iwe kwa wote na katika yote yanayostahili sio kuwachagua watu fulani tu na kuwakomalia.Naomba niwasilishe
Kweli wewe ni profound kilaza.Madhara ya shule za kata haya.