Mh hapa sijaelewa.......!!!Sio kweli kila unaemtaka ni saizi yako.
Mh hapa sijaelewa.......!!!
sio kweli kila mwanamke anayeenda bar ni malaya
sio kweli kila mwana jf anayetupia thread hapa ina ukweli
sio kweli kila mwenye makalio makubwa ni yake
Siyo kweli kuwa kila mbunge wa Chadema anachukia ufisadi. Mi nawajua kibao ambao ni mafisadi wa kufa mtu.
umefikiri nini tu dahhhhh..:A S embarassed:
he kumbe waweza azima
makalio!? Kama si yake
yanakuwa ya nani?
Heheehe
Sio kweli kila anaekuomba namba anakutaka.
Sio kweli kila aliyenenepa anakula vizuri.
Sio kweli kila aliyekonda ana ngoma.
Sio kweli kila anaekusifia anamaanisha.
Sio kweli kila unaemtaka ni saizi yako.
Sio kweli kila anayekugongea LIKE kapenda comment yako!
he kumbe waweza azima
makalio!? Kama si yake
yanakuwa ya nani?