Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwani hadithi za Shigongo zikoje?
Nini usiku mmoja bana? Huyu bibi yenu huyu..... Nlishawahi mbonji naye siku tatu bila kumvua andawea. Mpaka leo ananambia mie ni a real gentleman.
Inanisaidia sana hata akinikuta na kidemu nikimwambia usihofu, ngono si ugonjwa wangu hunijibu fasta "yeah, i know".
hapo hukuna mvuto, hebu fikiria demu unaempenda kwa dhati, ukimshika mkono tu kama shoti ya umeme!!!! ukilala nae!! alafu yupo labda na naiti dres we koma!!!!!! hayo mlionayo ni mapenzi ya wogaAise kama sijawahi kufanya nae sex hata mara moja na amekuja geto na mmelala kitanda kimoja basi huyo msichana akaupendi yupo hapo kwa ajili ya ndoa tu na hana hisia za kimapenzi na wewe,pia na wewe sidhani kama ni rijali aka shababi nenda lolliondo kwa babu ukapate kikombe.
JERYSON Hapa unavishwa kilemba cha ukoka tu kwa kupachikwa jina la Gentleman, lakini kiukweli kabisa wewe jina lako ni FALLA.
Yaani unataka mwanamke aje ndiyo yeye akwambie anahitaji Sex? kweli leo ndio nimeamini kwamba kuna Wanamume na watoto wa Kiume.
Pumba ndio hizi unazotuletea wewe, lakini kwa taarifa yako hapa hata pumba tunazipembuwa na chuya zitaonekana. unaleta Kid story halafu unaambiwa ukweli unataka kuruka Kimanga!! sasa wewe kama siyo FALLA uitweje?whatever but I know how to play my party.
Ndo nimesema awali kuwa kuna wengine hawataamini,wengine watasema ni hadithi za shigongo,wengine watachangia nonsense like u! But najua humu kuna pumba na mchele so najua pumba ni zipi naachana nazo and then nabeba mchele.
Over.
Hii ni pure Shigongo. kwani wewe ulipomwambia akalale kwako ulikuwa una malengo gani?.
Kingine ni kwamba uwezo wako wa kuchombeza ni below 10%, iweje kitu kiko zero distance halafu unagugumia maumivu usiku mzima.