Salathiel m.
Senior Member
- Mar 12, 2011
- 185
- 41
Ili nchi iwe na mabadiliko ni lazima sisi wananchi ndio tubadilike,hata kiingie chama gani madarakani kamwe awawezi leta mabadiliko ikiwa jamii yetu itaendelea kua doro hivi! Inatakiwa ifike wakati kiongozi awe anaogopa kula mali ya umma kwa kuogopa macho ya wananchi! Lakin sasa watu wanajizolea mihela uku wakiamini hakuna wa kumfanya kitu,na kweli wananchi watapga kelele siku 2 tu basi wanahamia kwene mada zingine.we have to change!!!