LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,167
Wana jf mnao ishi sinza au pita sinza njia ya sinza makaburini ambayo inakatisha na kwenda kutokea njia iendayo ubungo. Kuna kibaka mmoja anawaliza sana mchana kweupe na siyo siri anameki sana hera.Kibaka huyo kaweka kabendera kekundu katikati ya bara bara kuna sehem bara bara imeharibika kuna shimo kufanya mwenye gari yeyote apitae hapo lazima apunguze mwendo na magari hayawezi kabisa kupishana hivyo anatumia mwanya huo kuomba fedha kwa madereva na kujifanya ya kutengenezea shimo hilo.
Source mim mwenyewe namwona hapa kila siku ndiyo mchezo wake.
Kama huamin pita ili upate ushahidi.
Source mim mwenyewe namwona hapa kila siku ndiyo mchezo wake.
Kama huamin pita ili upate ushahidi.