Hakika kama umepita sinza hutosita kuungana nami
kwamba sasa sinza inaitaji kuitwa jiji la sinza
nimepita kila sehemu imekidhi kila haja ya mtanzania
kwa kila maitaji ya mtanzania....kwa wale wahusika
hapo juu tunaomba sinza ipewe hadhi ya jiji la sinza kama
dar es salaam
natumaini sala na maombi yetu yatasikika
kwamba sasa sinza inaitaji kuitwa jiji la sinza
nimepita kila sehemu imekidhi kila haja ya mtanzania
kwa kila maitaji ya mtanzania....kwa wale wahusika
hapo juu tunaomba sinza ipewe hadhi ya jiji la sinza kama
dar es salaam
natumaini sala na maombi yetu yatasikika