Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,882
- 32,277
bora umemuelewesha, mwambie aende na Riki hill au ashuke na jambo inn pia cku hizi wapo!
Mkuu unayajua machimbo! mmesahau na pale Uhuru Hotel ya Mzee wetu Keys Hotel, pale ni noma!
bora umemuelewesha, mwambie aende na Riki hill au ashuke na jambo inn pia cku hizi wapo!
palace hotel na concord hotel, zinatizamana na zote kuna biashara ya ukahaba
sasa mkuu unakataa kitu gani wakati concord na king palace zinatazamana!
Mm nimeishi pande hizo.
Nenda na riki hill pale pia wakumwaga tu. Fweza yako tu.
Wana kelele sana usiku kucha!!!yaani ni kero kwa waakazi wa maeneo kariakoo!!
Kwa wanaodhani wale wadada (plus plus) wamejikita sinza tu basi watembelee mtaa wa sikukuu kariakoo hasa pale palace hotel ni wnegi kama nzige sijui kwa nini uongozi wa hotel hauchukui hatua yeyote maana wana tabia ya kuwaganda wageni kama luba.
Pia mara nyingi hutwangana makonde wao kwa wao. Utashangaa kuna hata wasiojua kiswahili kabisa wakitokea congo au burundi . Gharama ni kati ya 5000 hadi 30,000 depending on bargaining power of the buyer.
haruuuuuuuuuuuuuuuuuu
tutaponaaaaaaaaaaaaaaaaa
wateja waooooooooooooo
akina naniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
vipi mjengoniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mmh umejua mpaka bei, na kabila wanazoongea au na wewe ulipita.
Ni kweli 'inalipa', kama mtu analipwa 30k kwa mara moja na anaweza kwenda na wanaume watatu kwa usiku mmoja, ni kipato cha 90k per night. Kwa mwezi, say anafanya 'kazi' siku nne kwa wiki anaweza kukusanya mpaka 1.440m....hii ni zaidi ya take home ya asst lecturer wa public university!
unaweza kumzuia simba asiwinde mbugani?Hii biashara imeshindikana kuzuiwa?
kaka inaonekana unatumia bidhaa hii kwa sanaaa angalia magonjwa,,,,kuzuiwa inashindikana sababu wakamataji wenyewe ndio watumiaji wakubwa wa dadapoawale wa pale kwabu ni wachafu sana.labda pale euro pub wanajiitahidi kidogo kwa usafi.