Sinusoidal curve of marriage life!....

ukiwa kwenye ndoa unaishi na wanandoa na unapata uzoefu mwingi tu AU VIPI MAMA?...

au wewe ''you are here to critisize?''

watu kwanini mnapenda kuwaprovoke wengine bure tu?sio fair jamani

sio lazima kuchangia kila thread!ukiona vipi vipi unaipotezea tu

ok sorry man, mbona umekasirika hakuna utani! cjakucritisize.
 
Tatizo kuna ndugu zangu hapo wataona kama mawimbi yanaongezeka na kupungua.....
hehehehehe!
kwa kungezea tu ni kwamba hapa kuna radian measure sio degree tena!

sasa ukiikonveti hiyo kwenye ma-lovee wala hutakaa ujilaumu kwanini unapiga infidelity...
mama la carmel YUPO?:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:!AMANI KWAKE
 

MAPENZI yamekaa ki-sayansi zaidi...
kama hivi mazee
 


mamaa la LILY-FLOWER..
hebu jicheki na hizo wavez za sine of an angle then utaona kwamba:
MAPENZI YA KWELI NI LAZIMA NA NI SHARTI YAMUDU MAWIMBI YA MAISHA!haiwezekani kukawa na true and complete love kama tu hatujafanikiwa kumudu mawimbi ya maisha(quarrels,infidelity,cheat etc)
 


mamaa la LILY-FLOWER..
hebu jicheki na hizo wavez za sine of an angle then utaona kwamba:
MAPENZI YA KWELI NI LAZIMA NA NI SHARTI YAMUDU MAWIMBI YA MAISHA!haiwezekani kukawa na true and complete love kama tu hatujafanikiwa kumudu mawimbi ya maisha(quarrels,infidelity,cheat etc)
Sasa na wewe mbona hujawekamo factor of safety? Unajua ndoa bila factor of safety inapotokea masuala ya infidelity watu wataweza kuuana!!
 
Sasa na wewe mbona hujawekamo factor of safety? Unajua ndoa bila factor of safety inapotokea masuala ya infidelity watu wataweza kuuana!!
ha ha ha ha!kwa hiyo tuichomekee hapo kati sio?
haya mkulu

chomekea pai hapo
 
Hahahahaha! Ngoja nicheke tena kidogo hahahahahahahahaha!

Sinusoidal curve imekuwa translated kwenye malovee? Hahahahahaha! Wahandisi kweli noma...

Sasa hebu tutafsirie na projectile curve kwenye maisha ya ndoa. (Niko bize naandaa makaratasi ya talaka hapa, wapi bht?)

aaaaaaaaaaaaaah mi li heading tu lilinitoa stimu wala sikutaka kufungua hii thread........
 
Mie naona Teamo hujakuwa fair...kwanini uwaombe wanawake wawe wavumilivu zaidi, lazima uvumilivu uwe pande zote mbili ili maisha yawe na balance...
mama anakuwa very busy na wanae kama anao,pia anakuwa bize sana na kazi.
Hapa mwanamume anajikita sana kwenye INFIDELITY
hapo mwanaume lazima amfahamu mwenzie halafu lazima nayeye amsaidie kazi na kulea watoto sio kutafuta infidelity... hivi lini wanaume watakuwa responsible? kwanini mke akizaa watoto yeye ndio ahangaike nao 24 hrs? what about his role as a father?

Kuna mambo unaweza kuvumilia na kuna mambo hayavumiliki....
 
Mie naona Teamo hujakuwa fair...kwanini uwaombe wanawake wawe wavumilivu zaidi, lazima uvumilivu uwe pande zote mbili ili maisha yawe na balance...
hapo mwanaume lazima amfahamu mwenzie halafu lazima nayeye amsaidie kazi na kulea watoto sio kutafuta infidelity... hivi lini wanaume watakuwa responsible? kwanini mke akizaa watoto yeye ndio ahangaike nao 24 hrs? what about his role as a father?

Kuna mambo unaweza kuvumilia na kuna mambo hayavumiliki....
Swali zuri sana sis lakini kama hiyo signature yako unamaanisha basi nadhani utakuwa unajua role ya mwanaume akiwa baba.

" With submission, faith and patience you conveyed the noble message; Brought this light through your guidance - Peace Be Upon You my Beloved, my Love...oh Mohammad.
 
DW u bet najua ila Teamo (Geoff bwana harusi) ndo kaandika hapo juu... watoto wakizaliwa basi baba anajikita kwenye infidelity; kwasababu yeye anakuwa free sana yani hana kazi kabisa ya kulea.. na mamii avumilie tuu .. hahha kazi kweli kweli kama mambo ndio hivyo...
 
DW u bet najua ila Teamo (Geoff bwana harusi) ndo kaandika hapo juu... watoto wakizaliwa basi baba anajikita kwenye infidelity; kwasababu yeye anakuwa free sana yani hana kazi kabisa ya kulea.. na mamii avumilie tuu .. hahha kazi kweli kweli kama mambo ndio hivyo...
hehehehe!
unajua nini no-name,
ni ukweli ambao jamii inakataa kuukabili.....
ndo maana tatizo linakuwa propagated
 
Ina maana hiyo x ina-approach infinity?Hebu jaribu ku-project x maximum yake kama 40 hivi.Ili nijionee kama hizi cycle ntazipitia mara ngapi.Tafadhali mhandisi...
 
Back
Top Bottom