Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
A sinusoidal curve is the graph of the sine function in trigonometry!...
In my four months of marriage i have come to learn that UPEPO-WA-NDOA
is a sinusoidal-curve.
1-KUNA WAKATI MAMBO YANAKWENDA SAFI SANA!
mashamsham kibao,ma-outing,ma kila kitu(HAPA NI WAKATI SIN(90)=+1
2-KUNA WAKATI MAMBO YANAKWENDA NDIVYO SIVYO..i mean fifty fifty.
mama anakuwa very busy na wanae kama anao,pia anakuwa bize sana na kazi.
Hapa mwanamume anajikita sana kwenye INFIDELITY:usa::usa:.HAPA NI WAKATI SIN(0)=0
3-KUNA WAKATI NDOA ZINAKUWA CHUNGU KULIKO.(hii ni stage mbaya kidogo).
inafikia mahala hakuna kabisa mawasiliano baina ya wanandoa.
mara nyingi hapa wanandoa hufikiria devorce n.k.HAPA NI WAKATI SIN(-90)=-1
4-LAKINI kuna wakati unaona watu wanarudisha upendo wao wa zamani na mambo
yanaendelea kama kawaida
MY TAKE:naomba watu wasivunjike mioyo(HASA AKINA DADA),pale mambo
yanapokwenda ndivyo sivyo,maanake ka-utafiti kangu kupitia post
nyingi za lediiz humu ndani inaonekana kwamba ni watu waliokata
tamaa kabisa au pengine wanawachukia sana wanaume.
In my four months of marriage i have come to learn that UPEPO-WA-NDOA
is a sinusoidal-curve.
1-KUNA WAKATI MAMBO YANAKWENDA SAFI SANA!
mashamsham kibao,ma-outing,ma kila kitu(HAPA NI WAKATI SIN(90)=+1
2-KUNA WAKATI MAMBO YANAKWENDA NDIVYO SIVYO..i mean fifty fifty.
mama anakuwa very busy na wanae kama anao,pia anakuwa bize sana na kazi.
Hapa mwanamume anajikita sana kwenye INFIDELITY:usa::usa:.HAPA NI WAKATI SIN(0)=0
3-KUNA WAKATI NDOA ZINAKUWA CHUNGU KULIKO.(hii ni stage mbaya kidogo).
inafikia mahala hakuna kabisa mawasiliano baina ya wanandoa.
mara nyingi hapa wanandoa hufikiria devorce n.k.HAPA NI WAKATI SIN(-90)=-1
4-LAKINI kuna wakati unaona watu wanarudisha upendo wao wa zamani na mambo
yanaendelea kama kawaida
MY TAKE:naomba watu wasivunjike mioyo(HASA AKINA DADA),pale mambo
yanapokwenda ndivyo sivyo,maanake ka-utafiti kangu kupitia post
nyingi za lediiz humu ndani inaonekana kwamba ni watu waliokata
tamaa kabisa au pengine wanawachukia sana wanaume.