Sinusoidal curve of marriage life!....

Teamo

JF-Expert Member
Jan 9, 2009
12,272
1,034
A sinusoidal curve is the graph of the sine function in trigonometry!...

In my four months of marriage i have come to learn that UPEPO-WA-NDOA
is a sinusoidal-curve.
1-KUNA WAKATI MAMBO YANAKWENDA SAFI SANA!
mashamsham kibao,ma-outing,ma kila kitu(HAPA NI WAKATI SIN(90)=+1

2-KUNA WAKATI MAMBO YANAKWENDA NDIVYO SIVYO..i mean fifty fifty.
mama anakuwa very busy na wanae kama anao,pia anakuwa bize sana na kazi.
Hapa mwanamume anajikita sana kwenye INFIDELITY:usa::usa:.HAPA NI WAKATI SIN(0)=0

3-KUNA WAKATI NDOA ZINAKUWA CHUNGU KULIKO.(hii ni stage mbaya kidogo).
inafikia mahala hakuna kabisa mawasiliano baina ya wanandoa.
mara nyingi hapa wanandoa hufikiria devorce n.k.HAPA NI WAKATI SIN(-90)=-1

4-LAKINI kuna wakati unaona watu wanarudisha upendo wao wa zamani na mambo
yanaendelea kama kawaida

MY TAKE:naomba watu wasivunjike mioyo(HASA AKINA DADA),pale mambo
yanapokwenda ndivyo sivyo,maanake ka-utafiti kangu kupitia post
nyingi za lediiz humu ndani inaonekana kwamba ni watu waliokata
tamaa kabisa au pengine wanawachukia sana wanaume.
 
:redface:
A sinusoidal curve is the graph of the sine function in trigonometry!...

In my four months of marriage i have come to learn that UPEPO-WA-NDOA
is a sinusoidal-curve.
1-KUNA WAKATI MAMBO YANAKWENDA SAFI SANA!
mashamsham kibao,ma-outing,ma kila kitu(HAPA NI WAKATI SIN(90)=+1

2-KUNA WAKATI MAMBO YANAKWENDA NDIVYO SIVYO..i mean fifty fifty.
mama anakuwa very busy na wanae kama anao,pia anakuwa bize sana na kazi.
Hapa mwanamume anajikita sana kwenye INFIDELITY:usa::usa:.HAPA NI WAKATI SIN(0)=0

3-KUNA WAKATI NDOA ZINAKUWA CHUNGU KULIKO.(hii ni stage mbaya kidogo).
inafikia mahala hakuna kabisa mawasiliano baina ya wanandoa.
mara nyingi hapa wanandoa hufikiria devorce n.k.HAPA NI WAKATI SIN(-90)=-1

4-LAKINI kuna wakati unaona watu wanarudisha upendo wao wa zamani na mambo
yanaendelea kama kawaida

MY TAKE:naomba watu wasivunjike mioyo(HASA AKINA DADA),pale mambo
yanapokwenda ndivyo sivyo,maanake ka-utafiti kangu kupitia post
nyingi za lediiz humu ndani inaonekana kwamba ni watu waliokata
tamaa kabisa au pengine wanawachukia sana wanaume.


Elimu dunia haina mwisho!!
 
My Take:naomba watu wasivunjike mioyo(HASA AKINA DADA),pale mambo
yanapokwenda ndivyo sivyo,maanake ka-utafiti kangu kupitia post
nyingi za lediiz humu ndani inaonekana kwamba ni watu waliokata
tamaa kabisa au pengine wanawachukia sana wanaume.

Siku moja moja unakunywa Valuu za kichina, hazina hang'over...

Lakini ningefurahi kama ungesema "Walio Ndani ya Ndoa.... Wasivunjike Mioyo"

Amani iwe kwenu...:pray:
 
A sinusoidal curve is the graph of the sine function in trigonometry!...

In my four months of marriage i have come to learn that UPEPO-WA-NDOA
is a sinusoidal-curve.
1-KUNA WAKATI MAMBO YANAKWENDA SAFI SANA!
mashamsham kibao,ma-outing,ma kila kitu(HAPA NI WAKATI SIN(90)=+1

2-KUNA WAKATI MAMBO YANAKWENDA NDIVYO SIVYO..i mean fifty fifty.
mama anakuwa very busy na wanae kama anao,pia anakuwa bize sana na kazi.
Hapa mwanamume anajikita sana kwenye INFIDELITY:usa::usa:.HAPA NI WAKATI SIN(0)=0

3-KUNA WAKATI NDOA ZINAKUWA CHUNGU KULIKO.(hii ni stage mbaya kidogo).
inafikia mahala hakuna kabisa mawasiliano baina ya wanandoa.
mara nyingi hapa wanandoa hufikiria devorce n.k.HAPA NI WAKATI SIN(-90)=-1

4-LAKINI kuna wakati unaona watu wanarudisha upendo wao wa zamani na mambo
yanaendelea kama kawaida

MY TAKE:naomba watu wasivunjike mioyo(HASA AKINA DADA),pale mambo
yanapokwenda ndivyo sivyo,maanake ka-utafiti kangu kupitia post
nyingi za lediiz humu ndani inaonekana kwamba ni watu waliokata
tamaa kabisa au pengine wanawachukia sana wanaume.

umenifanya niogope kuolewa
 
Siku moja moja unakunywa Valuu za kichina, hazina hang'over...

Lakini ningefurahi kama ungesema "Walio Ndani ya Ndoa.... Wasivunjike Mioyo"

Amani iwe kwenu...:pray:
ha ha ha ha!
noted sana with many thanks
 
A sinusoidal curve is the graph of the sine function in trigonometry!...

In my four months of marriage i have come to learn that UPEPO-WA-NDOA
is a sinusoidal-curve.
1-KUNA WAKATI MAMBO YANAKWENDA SAFI SANA!
mashamsham kibao,ma-outing,ma kila kitu(HAPA NI WAKATI SIN(90)=+1

2-KUNA WAKATI MAMBO YANAKWENDA NDIVYO SIVYO..i mean fifty fifty.
mama anakuwa very busy na wanae kama anao,pia anakuwa bize sana na kazi.
Hapa mwanamume anajikita sana kwenye INFIDELITY:usa::usa:.HAPA NI WAKATI SIN(0)=0

3-KUNA WAKATI NDOA ZINAKUWA CHUNGU KULIKO.(hii ni stage mbaya kidogo).
inafikia mahala hakuna kabisa mawasiliano baina ya wanandoa.
mara nyingi hapa wanandoa hufikiria devorce n.k.HAPA NI WAKATI SIN(-90)=-1

4-LAKINI kuna wakati unaona watu wanarudisha upendo wao wa zamani na mambo
yanaendelea kama kawaida

MY TAKE:naomba watu wasivunjike mioyo(HASA AKINA DADA),pale mambo
yanapokwenda ndivyo sivyo,maanake ka-utafiti kangu kupitia post
nyingi za lediiz humu ndani inaonekana kwamba ni watu waliokata
tamaa kabisa au pengine wanawachukia sana wanaume.


miezi 4 tu ushajua yote hayo?
 
miezi 4 tu ushajua yote hayo?
ukiwa kwenye ndoa unaishi na wanandoa na unapata uzoefu mwingi tu AU VIPI MAMA?...

au wewe ''you are here to critisize?''

watu kwanini mnapenda kuwaprovoke wengine bure tu?sio fair jamani

sio lazima kuchangia kila thread!ukiona vipi vipi unaipotezea tu
 
Hahahahaha! Ngoja nicheke tena kidogo hahahahahahahahaha!

Sinusoidal curve imekuwa translated kwenye malovee? Hahahahahaha! Wahandisi kweli noma...

Sasa hebu tutafsirie na projectile curve kwenye maisha ya ndoa. (Niko bize naandaa makaratasi ya talaka hapa, wapi bht?)
 
teamo nakubaliana na hoja yako lakini hebu tujiulize kidogo...............hivi vijimambo vinavyopelekea curve kushuka kuelekea minus hatuwezi kuvipunguza kweli?

waswahili wanasema "subira ina mpaka"
 
teamo nakubaliana na hoja yako lakini hebu tujiulize kidogo...............hivi vijimambo vinavyopelekea curve kushuka kuelekea minus hatuwezi kuvipunguza kweli?

waswahili wanasema "subira ina mpaka"
Naona wewe unataka kusababisha iletwe equation ya straight line kwenye maisha ya ndoa.
 
hahaha chrispin ................sio hivyo lakini hivi duh hii range tulopewa hapa ya kuanzia 90 mpaka -90 kidoooodo imetilia mashaka.

maana angalau ingekuwa inarange from 30 to -30 nafikiri wengi wangeweza kuvumilia.
 
Hahahahaha! Ngoja nicheke tena kidogo hahahahahahahahaha!

Sinusoidal curve imekuwa translated kwenye malovee? Hahahahahaha! Wahandisi kweli noma...

Sasa hebu tutafsirie na projectile curve kwenye maisha ya ndoa. (Niko bize naandaa makaratasi ya talaka hapa, wapi bht?)
ha ha ha ha!
LOVE-ENGINEERING AT WORK
 
hahaha chrispin ................sio hivyo lakini hivi duh hii range tulopewa hapa ya kuanzia 90 mpaka -90 kidoooodo imetilia mashaka.

maana angalau ingekuwa inarange from 30 to -30 nafikiri wengi wangeweza kuvumilia.
HAPO kwenye 90 to -90 nimeallow kila kitu

nimekalkuleti minimum bending moment(-90) na maximum bending moment(90)

below -90 HUWA NI BREAKUP TU...!hata kujiua,au kumwua mwenzio
above 90 HUWA NI UNAFIKI MTUPU..!mapenzi ya kwenye tamthiliya hayo.(tigo et al)
 
HAPO kwenye 90 to -90 nimeallow kila kitu

nimekalkuleti minimum bending moment(-90) na maximum bending moment(90)

below -90 HUWA NI BREAKUP TU...!hata kujiua,au kumwua mwenzio
above 90 HUWA NI UNAFIKI MTUPU..!mapenzi ya kwenye tamthiliya hayo.(tigo et al)

Hahahahaa! Bending moment kwenye malovee!! (Angalia usije ukasababisha wataalam wa mangwini wakaenda kuwakunja wake zao wakitafuta momenti za kubendi)
 
Unapoamua kuingia kwenye ndoa. tunategemea kuwa utakuwa ni mtu mzima unayetambua upendo na machungu ya ndoa pia kupitia kusimuliwa na kuona pia kwa maana hiyo utakuwa unatambua ni nini hasa unachokwenda kukabiliana nacho ndio maana hakuna ndoa ya watoto. Nafikiri kama unajiona huwezi KUVUMILIA ni afadhali USIOE/KUOLEWA kabisa. Na kama wewe ni mtu wa JAZBA angalia sana ndoa hasitadumu sanasana utaishia kwenye divorce.

Mara nyingi watu tunaingia kwenye ndoa tunawaza tu mazuri kama vile safari ya mwezini na huwa hatufikirii kwanini tumeingia kwenye ndoa. ila ndoa ni sehemu nzuri sana ya kuwepo na na mbaya kuliko chochote uki ukikulupuka. Angalia wazee walioko kwenye ndoa kwa takribani miaka 40 na ulinganishe na waliaacha na kuachika utajifunza kitu kikubwa kwamba ndoa ni nzuri sana.
 
Back
Top Bottom