Kupiga kura ni kwa ajili ya kuchangua raisi au mbunge ili aweze kutekeleza majukumu yake kama kiongozi ni jambo nyeti sana,hivyo kuna wagombea wengi wenye sifa za kuwa viongozi lakini kwa kuwa anagombea kupitia chama fulani hawezi kupigiwa kura kwa sababu yupo chama pinzani,au tawala,hivyo wengi wapiga kura tumeweka vyama mbela bila kuangalia uwezo wa mgombea, mfano utakuta chama kimoja kimeweka mgombea mwenye sifa sahihi,na kingine kimeweka mgombea kutokana na umaarufu wake tu, hapo wanavyama wataangalia uchama na wala si uwezo wa mgombea hata kama yupo chama tofauti na kma akienda kuboronga huko inakuwa tabu kwa jamii zima, kutokana na hilo kwangu mimi sipigi kura mpaka mgombea binafsi aruhusiwe.