SINOTA ilifia wapi?

Adili

JF-Expert Member
Nov 3, 2007
3,138
1,117
Wanaukumbi,

Tunaongea ushirikiano kati ya Tanzania na China kila kukicha.

Naomba kujua kampuni ya meli ya Sino-Tanzania Joint Shipping Company ilifia wapi. Je kama bado ipo hai ina faida au la?
Msharika kwenye kampuni hii alikuwa China Ocean Shipping Company (COSCO) - shirika la umma - one of the largest shipping companies in the world.
Au walituacha kwenye mataa?
 
Wanaukumbi,

Tunaongea ushirikiano kati ya Tanzania na China kila kukicha.

Naomba kujua kampuni ya meli ya Sino-Tanzania Joint Shipping Company ilifia wapi. Je kama bado ipo hai ina faida au la?
Msharika kwenye kampuni hii alikuwa China Ocean Shipping Company (COSCO) - shirika la umma - one of the largest shipping companies in the world.
Au walituacha kwenye mataa?

Kuna TETESI, JPM anaifufua na itafanya kazi kama shirika la wakala wa Meli Tanzania
 
Bado lipo na wafanyakazi wake wako vizuri ajabu sababu china ina makampuni mengi sana yaliyopata tenda za ujenzi na walilitumia sinota.

Walikuwa wako vizuri nyakati ziliopita enzi za Bandari shamba la bibi. Lipo tembelea Conti car kwa nyuma utawapata.
 
Hiyo kampuni ofisi zake zipo pale maeneo ya kisutu sec,ila meli azijulikani zilipo,inasemekana wajanja wachache wamezikodisha hz singapore,hili hao wajanja wale kiulaini walichokifanya kwa ss ni kuwashusha mabaharia wa kitanzania,jpm akiingia huko kwenye sinota anaweza kuamuru watu flan wanyongwe hadharani
 
Back
Top Bottom