Single mpya ya CHADEMA hii hapa

GeniusBrain

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
4,315
306
Salamu zangu natoa kwa wana Magwanda, ambao hutoa kauli kanjanja
Ni watu sio makini zaidi ya ukanda , ambao dini kwao iko kwenye kiganja,
Magwanda ni mafukara wa kwanza, kwa hoja zao zisizo makini
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja

Nayasema haya kwa umakini na weledi, watanzania ni mashahidi
Magwanda hawajali amani ya nchi, bali matumbo yao na umaarufu
Ni watu wahuni na si makini, wenye kujitafutia wao umaarufu
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja

Hili somo tunawapa kama funzo, ili wao nao wajifunze
Amani ya nchi hii tuitunze, utulivu nao tuutunze,
Acheni ubaguzi wa kidini , na muwe wanaharakati makini
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja
 
Pole sana GeniusBrain, naona akili yako haiko makini
Nguo yako ya kijani, haina tena thamani,
Gamba limewakaa kichwani, huku jokakuu likiwa safarini,
CCM bado mko ndotoni, CHADEMA wako mbioni kukomboa nchi.
 
Salamu zangu natoa kwa wana Magwanda, ambao hutoa kauli kanjanja
Ni watu sio makini zaidi ya ukanda , ambao dini kwao iko kwenye kiganja,
Magwanda ni mafukara wa kwanza, kwa hoja zao zisizo makini
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja

Nayasema haya kwa umakini na weledi, watanzania ni mashahidi
Magwanda hawajali amani ya nchi, bali matumbo yao na umaarufu
Ni watu wahuni na si makini, wenye kujitafutia wao umaarufu
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja

Hili somo tunawapa kama funzo, ili wao nao wajifunze
Amani ya nchi hii tuitunze, utulivu nao tuutunze,
Acheni ubaguzi wa kidini , na muwe wanaharakati makini
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja

hii single underground, hata redioni haitopigwa
 
Singo yako imekaa kikuda kama sharo anayepakatwa
 
single zenu mnazo kibao mnajishaua tu
umeme hakuna
maji hakuna
vitu bei juu
shule duni
hospitali duni
chama kimejaa ufisadi tupu
viongozi wanachekacheka tu wakati wowote




Salamu zangu natoa kwa wana Magwanda, ambao hutoa kauli kanjanja
Ni watu sio makini zaidi ya ukanda , ambao dini kwao iko kwenye kiganja,
Magwanda ni mafukara wa kwanza, kwa hoja zao zisizo makini
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja

Nayasema haya kwa umakini na weledi, watanzania ni mashahidi
Magwanda hawajali amani ya nchi, bali matumbo yao na umaarufu
Ni watu wahuni na si makini, wenye kujitafutia wao umaarufu
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja

Hili somo tunawapa kama funzo, ili wao nao wajifunze
Amani ya nchi hii tuitunze, utulivu nao tuutunze,
Acheni ubaguzi wa kidini , na muwe wanaharakati makini
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja
 
Aaah 0 Brain punguani wa uswahilini,mtoto wa muuza vitumbua kutwa kucha unashinda kwenye Gahawa,
UBONGO WAKO UNAFIRIA KWA %0.5 yaani ni sawa na kichwa cha kuku muda wote ni kuwaza pumba tu,aliye kupa hiyo kazi nadhani nae atakuwa na %0.9 mnazidiana kidogo tu,WAPE SAALAAM KIJIWENI.
 
Kweli watu wa magamba ni waajabu sana. katulia na kupoteza muda wake kuandika huu upupu kisa Nape aone mchango amuingize katika paylist. Mmezoea kuishi kwa dhuluma nyie ndio maana mnamuogopa Dr Slaa kama ukoma, akitoa tamko tu bosi wenu JK anatekeleza haraka. Mnakosa usingizi kabisa, jamaa amewakaba kila upande... Bungeni hampumui, mitaani maandamano, usiku giza mnalala saa mbili, kudadeki mwaka wenu huu wana Magamba mtakiona cha moto.
 
Utu si ubinadamu, mshairi ninasema,
Utu ni jambo adimu, wengi wameshauhama,
Viumbe ni binadamu, lakini utu lawama,
Utu si ubinadamu, wanasiasa watupoteza.

Utu si ubinadamu,itazameni kalima,
Utu ni kitu adhimu, Mola wengi kawanyima,
Utu wataka Halimu, na kubwa ndani hekima,
Utu si ubinadamu, wanasiasa watupoteza.

Utu ya juu nidhamu, utadhani ni karama,
Utu ya haki hukumu,bila kugwaya uhasama,
Utu adili nadhimu, uadiifu wa dawama,
Utu si ubinadamu, wanasiasa watupoteza.

Utu ni kutakadamu, mwenendo na tabia njema,
Utu ni uislamu, fundisho mpaka kiyama,
Sio wote wanadamu, utu wapewa heshima,
Utu si ubinadamu, wanasiasa watupoteza.

Wapo vinara hakimu, viongozi wa heshima,
Kadhalika wanajimu, nyota waliozisoma,
Ila utu madhulumu, hawana cha chini kima,
Utu si ubinadamu, wanasiasa watupoteza.

Wapo mashehe na walimu, na mapadri waadhama,
Jichoni ni binadamu, kubwa twawapa heshima,
ila nakisi yadumu, utu kwao umehama,
Utu si ubinadamu, wanasiasa watupoteza.

Twawaona binadamu, utu vipofu nasema,
Utu sio la ghanimu, wala kwa cheo kuvuma,
Maskini huwa rahimu, malaika kumpema,
Utu si ubinadamu, wanasiasa watupoteza.

Mtoto huufahamu, mkubwa kutokuusoma,
Mjinga huwa karimu, mwenye akili kuzama,
Nisai huwa hirimu, rijali akachutama,
Utu si ubinadamu, wanasiasa watupoteza.
 
ukitaka kujua thamani ya magwanda na kijani we vaa kijani na suruali nyeusi na mwingine avae magwanda wote mtembee mtaani uatona jinsi utakavyo zomewa na raia kukushangaa kweli kweli mpaka utatamani kuvua
 

Wewe hauna kazi za kufanya nenda kwenu ukalale toa mchango kuhusu maendeleo ya nchi si kuropoka na kuleta ubwanyenye hapa
 
Salamu zangu natoa kwa wana Magwanda, ambao hutoa kauli kanjanja
Ni watu sio makini zaidi ya ukanda , ambao dini kwao iko kwenye kiganja,
Magwanda ni mafukara wa kwanza, kwa hoja zao zisizo makini
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja

Nayasema haya kwa umakini na weledi, watanzania ni mashahidi
Magwanda hawajali amani ya nchi, bali matumbo yao na umaarufu
Ni watu wahuni na si makini, wenye kujitafutia wao umaarufu
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja

Hili somo tunawapa kama funzo, ili wao nao wajifunze
Amani ya nchi hii tuitunze, utulivu nao tuutunze,
Acheni ubaguzi wa kidini , na muwe wanaharakati makini
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja

Hongera malenga wa wiki. au hii ni bongo fleva?
 
Salamu zangu natoa kwa wana Magwanda, ambao hutoa kauli kanjanja
Ni watu sio makini zaidi ya ukanda , ambao dini kwao iko kwenye kiganja,
Magwanda ni mafukara wa kwanza, kwa hoja zao zisizo makini
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja

Nayasema haya kwa umakini na weledi, watanzania ni mashahidi
Magwanda hawajali amani ya nchi, bali matumbo yao na umaarufu
Ni watu wahuni na si makini, wenye kujitafutia wao umaarufu
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja

Hili somo tunawapa kama funzo, ili wao nao wajifunze
Amani ya nchi hii tuitunze, utulivu nao tuutunze,
Acheni ubaguzi wa kidini , na muwe wanaharakati makini
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja

Wapashe Genius-Brain, CHADEMA wanahaha sasa. Mbunge wao wenyewe wa Maswa Magharibi anawaendesha bungeni.
 
Weeee, hebu pata kitu hiki.

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom