GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Salamu zangu natoa kwa wana Magwanda, ambao hutoa kauli kanjanja
Ni watu sio makini zaidi ya ukanda , ambao dini kwao iko kwenye kiganja,
Magwanda ni mafukara wa kwanza, kwa hoja zao zisizo makini
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja
Nayasema haya kwa umakini na weledi, watanzania ni mashahidi
Magwanda hawajali amani ya nchi, bali matumbo yao na umaarufu
Ni watu wahuni na si makini, wenye kujitafutia wao umaarufu
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja
Hili somo tunawapa kama funzo, ili wao nao wajifunze
Amani ya nchi hii tuitunze, utulivu nao tuutunze,
Acheni ubaguzi wa kidini , na muwe wanaharakati makini
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja
Ni watu sio makini zaidi ya ukanda , ambao dini kwao iko kwenye kiganja,
Magwanda ni mafukara wa kwanza, kwa hoja zao zisizo makini
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja
Nayasema haya kwa umakini na weledi, watanzania ni mashahidi
Magwanda hawajali amani ya nchi, bali matumbo yao na umaarufu
Ni watu wahuni na si makini, wenye kujitafutia wao umaarufu
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja
Hili somo tunawapa kama funzo, ili wao nao wajifunze
Amani ya nchi hii tuitunze, utulivu nao tuutunze,
Acheni ubaguzi wa kidini , na muwe wanaharakati makini
Magwanda si chama cha siasa, bali ni wanaharakati kanjanja