valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,851
- 868
Mambo mazito haya. Kikulacho ki nguoni mwako.
Kivipi tena ndugu yangu?
Simu yake haiguswi, labda kama nataka ugomvi wiki nzima. Huyo rafiki hata simtaki tena. Nadhani sina hata haja ya kumjulisha najua, atajua mwenyewe baadae.
Kuongea ni muhimu ila asiongei nae kwa lengo la kutafuta ukweli maana amesha ujua. Amwambie tu kua amesha jua kinacho endelea, na achukue muda wa kufikiria upya hiyo ndoa.
Ni mawazo mazuri pia. Kwa kweli uhusiano upo, na hapo nadhani hakuna ubishi. Ila akiongea nae ataweza kufafanua mambo kadhaa. Kwanza atajua kama ni uhusiano wa muda mrefu au wa siku chache (hii itamsaidia kumjua mume wake. kama ni wa siku nyingi basi huenda kuna mengine mengi anamficha), pia ataweza kugundua nia ya mume. tunaweza kumshahuri kumsamehe mume kumbe yeye mwenyewe alitaka kumfukuza mke wake. Bira amuulize ana nia gani sasa. Alafu pia sometimes mtu kuonekana anajuta makosa yake na kuyakiri kunaweza kumsaidia mtoa mada kuchukua uamuzi haraka.I've always thought that, Katika hali kama hii mtu anaweza kujua akiwa na uhakika (or almost) pale tu atakapokuwa ameona reaction za wahusika baada ya kuwajulisha anachojua. Kwa hiyo, nafikiri ni bora aendelee kuwa na open-mind ingawa uwezekano wa mume wake kutokuwa na uhusiano wa nje ni mdogo sana. Uko sahihi kabisa unapomshauri afikirie, lakini afanye hivyo baada ya kuwa na zungumzo na mumeye, ili aweze kufikiria akizingatia namna ambavyo mume wake ali-react na maelezo aliyotoa.
I'm trying to fit in with the JF MMU crowd. I want to be accepted.
Kwani rafiki alifanya peke yake? Mpe ushahuri kuhusu huyo mwanaume piamuepuke huyo rafiki yako
Kongosho, ni kweli mke hagombani na kimada wa mumewe lakini kama kimada mwenyewe ni mtu ambaye ni rafiki yangu!! Nitagombana naye tu kwa sababu alipotongozwa alijua fika kuwa huyu ni mume wangu mie na hapaswi, si kwa kuwa ni mume wa mtu tu, bali kwa kuwa ni mume wa rafiki yake! So alikuwa anajua alichokifanya na pengine yeye ndo aliyemseduce!Una akili kama mchwa, ulifanya jambo la busara kutomuuliza
Mke hagombani na kimada wa mumewe
Kaongee na mmeo, na ukabe hadi penati kuanzia sasa.
Kuwa na rafiki kama huyo huhitaji adui.
Sarcasm ni namna nyingine nzuri tu ya kufikisha ujumbe.@NN
You can't be an actor.
Hasira iko wazi sana katika maandishi yako
na nadhani umetaharuki kuwa huyu dada bado anataka ushauri gani wakati kaona mwenyewe.
Better the old NN.
Huyo shost mpotezee coz ni mbaya sn,yani alikupa hiyo akijua anakufikishia ujumbe kuwa anatoka na mmeo,jaman anasahau na yy ni mwanamke pia?achana nae na ushost ufe,ndio maan ctaki mashoga cjui shost watu wabaya sn,angrrrrrr!