FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
Alwatan umenena vyema sana hope hakuna aliyekwazika na post yako umewasaidia wengi hapa Jukwaani
wana blog wote,
wasalaam!,sita kukupotezea muda mwingi naomba sana munisaidie shida yangu
hii kwani nahisi dunia yote nimebaki peke yangu!!.kifupi mimi ni kijana
wa miaka 29 na nimesoma mpaka chuo kikuu,japo bado sijabahatika kupata
kazi.nilisoma shule ya bweni ya wavulana tupu,tangu kidato cha kwanza
mpaka cha sita.
Nilipokua shule tangu kidato cha kwanza nilifundishwa au kuiga tabia ya
kupiga punyeto (Masterburation).na ilikua ni tabia ya kawaida kabisa
hapa shule na kutokana na hilo hakika sikujua kama ina madhara yoyote.Niliendelea kupiga punyeto kuanzia kidato cha mpaka kitado cha sita mfululizo na nikawa adicted kabisa.Baada ya kujua madhara yake niliamua kuacha kabisa tabia hii na hili nimeliweza.Nilipofika chuoni niliingia kwenye uhusiano na msicha ambae nilmpenda sana na tulipendana sana.Nilipojaribu kushiri nae tendo,nilishindwa kabisa na sichukui muda hata wa dakika 1 nimeshamwaga!Hili tatizo liliendelea kujirudia mara nyingi sana katika uhusiano wetu na mpenzi wangu alikosa raha sana na kulalamika simlizishi katika mapenzi,na baada ya mudaakanichukia,mapenzi yakapungua na mwiso akaomba tuachane naakaniaacha!!. Nimekaa mwenyewe muda mrefu sana na najihisi mpweke sana,na sina raha.Je naweza kupata mtu wa kunipenda katika hali hii na kuyaelewa matatizo yangu na kuangalia jinsi ya kunisaidia?Je naweza kupata tiba ya tatizo hili?kwani hata sehemu zangu za siri zimesinyaa na imekua laini,na ukiamuka asubuhi inakua imelala tu!!.
naomba msaada wako,na kama kuna msicha yoyote yuko tayari kunipenda kwenye hali hii aniandikie kwenye e-mail yangu kulwa12@fastmail.fm
NAOMBA MSAADA WENU WADAU.
Dogo pole sana.....Yaani umekula nyeto hadi mademu wanakushinda??? Nway we tatizo lako ni la kisaikolojia zaid kwa sababu hata mimi nimesoma bweni 1-6 na nyeto nimekula tena sana na asikwambie mtu wanaume wengi sana (makadirio ni 98%) wameshawahi kula nyeto lakini tukichukua mademu tunawamega hadi wenyewe wanaomba kupumzika. Nachokushauri hebu jaribu kuonana na wataalamu wa magonjwa ya kisaikolojia watakusaidia tu. Yaani usiwe na wasi kabisa nyeto mbona kawaida tu mtu wangu.wana blog wote,
wasalaam!,sita kukupotezea muda mwingi naomba sana munisaidie shida yangu
hii kwani nahisi dunia yote nimebaki peke yangu!!.kifupi mimi ni kijana
wa miaka 29 na nimesoma mpaka chuo kikuu,japo bado sijabahatika kupata
kazi.nilisoma shule ya bweni ya wavulana tupu,tangu kidato cha kwanza
mpaka cha sita.
Nilipokua shule tangu kidato cha kwanza nilifundishwa au kuiga tabia ya
kupiga punyeto (Masterburation).na ilikua ni tabia ya kawaida kabisa
hapa shule na kutokana na hilo hakika sikujua kama ina madhara yoyote.Niliendelea kupiga punyeto kuanzia kidato cha mpaka kitado cha sita mfululizo na nikawa adicted kabisa.Baada ya kujua madhara yake niliamua kuacha kabisa tabia hii na hili nimeliweza.Nilipofika chuoni niliingia kwenye uhusiano na msicha ambae nilmpenda sana na tulipendana sana.Nilipojaribu kushiri nae tendo,nilishindwa kabisa na sichukui muda hata wa dakika 1 nimeshamwaga!Hili tatizo liliendelea kujirudia mara nyingi sana katika uhusiano wetu na mpenzi wangu alikosa raha sana na kulalamika simlizishi katika mapenzi,na baada ya mudaakanichukia,mapenzi yakapungua na mwiso akaomba tuachane naakaniaacha!!. Nimekaa mwenyewe muda mrefu sana na najihisi mpweke sana,na sina raha.Je naweza kupata mtu wa kunipenda katika hali hii na kuyaelewa matatizo yangu na kuangalia jinsi ya kunisaidia?Je naweza kupata tiba ya tatizo hili?kwani hata sehemu zangu za siri zimesinyaa na imekua laini,na ukiamuka asubuhi inakua imelala tu!!.
naomba msaada wako,na kama kuna msicha yoyote yuko tayari kunipenda kwenye hali hii aniandikie kwenye e-mail yangu kulwa12@fastmail.fm
NAOMBA MSAADA WENU WADAU.
Kujichua na KUMEGA pia kama kawa mummyPole sana. Na hili liwe fundisho kwa wanaume wengine, waache kujichua.
...Tena cku hizi ndio wanaharibu kabisa ukimsemesha tu kinachofata ni mzinga ya vocha za simu, mara nataka kwenda salon kusuka nywele za kimasai, cjui kuna kiatu kizuri nimekiona dukani mara nataka simu yenye memory card niwe naweka miziki ili mradi kama una roho nyepesi unaweza ku-give up...Sijui wakoje!Wanajichua kwa kuwa wakija kuwaapproach mnakuwa na process ndefu mpaka muwape!!!!!!!!!
Sorry
Pole sana. Na hili liwe fundisho kwa wanaume wengine, waache kujichua.
wana blog wote,
wasalaam!,sita kukupotezea muda mwingi naomba sana munisaidie shida yangu
hii kwani nahisi dunia yote nimebaki peke yangu!!.kifupi mimi ni kijana
wa miaka 29 na nimesoma mpaka chuo kikuu,japo bado sijabahatika kupata
kazi.nilisoma shule ya bweni ya wavulana tupu,tangu kidato cha kwanza
mpaka cha sita.
Nilipokua shule tangu kidato cha kwanza nilifundishwa au kuiga tabia ya
kupiga punyeto (Masterburation).na ilikua ni tabia ya kawaida kabisa
hapa shule na kutokana na hilo hakika sikujua kama ina madhara yoyote.Niliendelea kupiga punyeto kuanzia kidato cha mpaka kitado cha sita mfululizo na nikawa adicted kabisa.Baada ya kujua madhara yake niliamua kuacha kabisa tabia hii na hili nimeliweza.Nilipofika chuoni niliingia kwenye uhusiano na msicha ambae nilmpenda sana na tulipendana sana.Nilipojaribu kushiri nae tendo,nilishindwa kabisa na sichukui muda hata wa dakika 1 nimeshamwaga!Hili tatizo liliendelea kujirudia mara nyingi sana katika uhusiano wetu na mpenzi wangu alikosa raha sana na kulalamika simlizishi katika mapenzi,na baada ya mudaakanichukia,mapenzi yakapungua na mwiso akaomba tuachane naakaniaacha!!. Nimekaa mwenyewe muda mrefu sana na najihisi mpweke sana,na sina raha.Je naweza kupata mtu wa kunipenda katika hali hii na kuyaelewa matatizo yangu na kuangalia jinsi ya kunisaidia?Je naweza kupata tiba ya tatizo hili?kwani hata sehemu zangu za siri zimesinyaa na imekua laini,na ukiamuka asubuhi inakua imelala tu!!.
naomba msaada wako,na kama kuna msicha yoyote yuko tayari kunipenda kwenye hali hii aniandikie kwenye e-mail yangu kulwa12@fastmail.fm
NAOMBA MSAADA WENU WADAU.
Labda alikuwa anatumia nguvu mpaka mishipa imepasuka teheteheeeeyatakuwa mambo mengine dogo,mbona sisi tunapiga sana nyeto na wanake tunawakamua?????kula sana pweza