bowlibo
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 3,206
- 2,899
Nimesikia na nimeona kupitia TV alichokisema mwenyekiti mpya wa ccm kuhusu wanaorudi ccm toka upinzani. Hoja ya mkia nilivyoielewa ni kwamba ukiwa ccm una mkia na ukienda upinzani lazima ukatwe mkia.
Upinzani hakuna wanyama kwa maana wanyama wana mikia na unyama tumeuona,tunauona na tutauona.
Mimi sina mkia na nitaishi kwa kutokuwa na mkia na nitaishi kisiasa na wasio na mikia, na in any case akitokea mwenye mkia lazima tuukate ili asiendane na sisi.
Sasa kwa vile nimezaliwa bila mkia nitawezaje kwenda kuishi na wenye mikia? Ila wenye mikia ni rahisi kuishi na sisi kwa sababu mkia utakatwa hata kwa operesheni ya ganzi.
Nawasilisha, ni rahisi kukatwa mkia kuliko kuungaunga ili uwe na mkia
Upinzani hakuna wanyama kwa maana wanyama wana mikia na unyama tumeuona,tunauona na tutauona.
Mimi sina mkia na nitaishi kwa kutokuwa na mkia na nitaishi kisiasa na wasio na mikia, na in any case akitokea mwenye mkia lazima tuukate ili asiendane na sisi.
Sasa kwa vile nimezaliwa bila mkia nitawezaje kwenda kuishi na wenye mikia? Ila wenye mikia ni rahisi kuishi na sisi kwa sababu mkia utakatwa hata kwa operesheni ya ganzi.
Nawasilisha, ni rahisi kukatwa mkia kuliko kuungaunga ili uwe na mkia