Mimi ni binti nina mpenzi wangu ambaye tuna muda mrefu kwenye uhusiano wetu.
Tatizo ni kwamba wakati nampenda alinifanyia visa vingi sana aliniumiza mpaka nikaona dunia chungu ila sikuwa na uwezo wa kumuacha kutokana na jinsi nlivyompenda.
Sasa yale maumivu ya vitu alivyokua ananifanyia sasa hivi ndo yamekua makali kiasi kwamba hata ule upendo umepungua na yeye ndo kama amezidisha mapenzi na amenitambulisha kwa wazazi.
Ushaur wenu nifanyeje ili ule upendo urud mana nkikumbuka vile visa sitamani hata kumuona.
Ushauri tafadhali
Tatizo ni kwamba wakati nampenda alinifanyia visa vingi sana aliniumiza mpaka nikaona dunia chungu ila sikuwa na uwezo wa kumuacha kutokana na jinsi nlivyompenda.
Sasa yale maumivu ya vitu alivyokua ananifanyia sasa hivi ndo yamekua makali kiasi kwamba hata ule upendo umepungua na yeye ndo kama amezidisha mapenzi na amenitambulisha kwa wazazi.
Ushaur wenu nifanyeje ili ule upendo urud mana nkikumbuka vile visa sitamani hata kumuona.
Ushauri tafadhali