Tehe tehe tehe teheeeeee!Mnh, madaktari walienda kumwona Dr. Photogenic na baada ya mazungumzo wakaondoka wakiamini matatizo yao yatapatiwa ufumbuzi kumbe loh! wanajikuta wakianza upya! Dr. Photogenic wala habari hana ye alishamaliza baada ya kupiga nao picha za kumbukumbu.