Sina hamu tena kuonana uso kwa uso na mwanaJF

Sana tu kama unatafuta mademu ndo kazi aibu itakupata, jitahidi kumuomba mtu ajitambulishe kabla hamjaonana.
 
haha tatizo mnaweka expectations nyingi.
mie ndio tusijuane kabisaa na mtu:mad2::mad2::becky:
 
haha tatizo mnaweka expectations nyingi.
mie ndio tusijuane kabisaa na mtu:mad2::mad2::becky:
:becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:
aisifuye mvua....
 
ha ha ha mambo mengine yanafurahisha you made my day ..naandaa Fiesta moja itukutanishe JF wote angalau tufahamiane ..haya mambo ya kuwa ma-invisible magumu sana ...Preta andaa spead sheet orodhesha majina ya kina nani watahudhuria tupange bajeti:confused2:

ndio naanza saa hii....jamani ndio hivyo tena
 
you are all supposed to be anonymous....mwatafutiana nini????
Mh hii kali ya mwezi aisee ... and i beg to differ, we are NOT supposed to be anonymous... its the choice we make!! Ndio maana akina zitto, Max, Mtei, nk wanatumia majina yao kamili

Its a matter of choice na kutafutana ni kawaida ya maisha
 
...atayepita anga zangu anajitafutia 'malaria' tu, kaa mbali kabisa na mie.
(time za kula daku hizi)...swalaa, salaaa!
 
expectation mnaziweka nyie kwenye AVATAR......:smile::smile::smile:

Teh teh,angalia kama hiyo mugongo ya Preta jamani expectations itakuwaje kama si kutegana huko? Mwisho wa siku unakuta ni sister au mother in law.....
 
hahahahah!!!!!!!!!
tatizo matongozo mwali mma!!...mabwana wengine kufanya kutaka kuonana lakin ajenda zao bwanawewe mmh kunyata.......
.......!!
..wanaomba mkutane bt afta kumit kitongozo iki..for real i dnt wan t
km kumit tumit tu lakin habar nyingine zile mmh mmh aapana!!
byeee

Dada Rose
wewe hujuhi kukataa, mbona muoga wa kutongozwa, lakini anyway kama ujuhi kukataa ni bora ukakimbia kabisa kutoka katika hiyo mijumuiko
 
Back
Top Bottom