Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,437
- 5,146
Inachekesha, ni ngumu kuamini na inanihuzunisha kwa kisa kilichonikumba. Nina mpenzi wangu ambaye tumekuwa wote tangu mwaka 2007 tumekuwa tukiishi vizuri tu tena kwa uaminifu mkubwa sana. Shughuli zake na mimi ni tofauti na yeye huwa anasafiri sana sasa kutokana na hali hiyo mimi nimekuwa na tabia ya kupiga "puchu" a.k.a masturbation nikimmiss ambayo huwa naipiga kwa style ya kuvaa condom na kuanza kujisugua mpaka napiga bao na mara tu nimalizapo huchukua condom na kuzitupa chooni naflush then mambo mengine yanaendelea kama kawaida. Lakini safari hii sijui ni nini kikanituma kutupa ile condom kwenye dust bin ya ndani tena bila kufunika! kilichotokea baada ya hapo acheni tu... sikujua kuwa ndani kuna panya basi usiku ule panya wakajichanganya kwenye dust bin kama kawaida yao katika kutafuta msosi si wakakutana na ile condom tena nikiwa nimeifunga vizuuri ndani imejaa manii wakaivuta mpaka sebuleni chini ya sofa! nashindwa kuelewa mpaka sasa kilichotokea kwani kesho yake nikiwa nakaribia kutoka job mpenzi akanisuprise na simu honey ukija utanikuta kwako! Dah nikasema mambo si ndo hayo na ukizingatia hatujaonana wiki nzima. Sasa ile mzee nafika kwangu nagonga mara mlango ukafunguliwa na nilichokiona jamani nikikumbuka kinaniumiza sana roho kwani mpenzi wangu alikuwa kaishika ile condom akanionesha na kuniambia nashukuru kwa yote nakutakia maisha mema na umalaya wako! Mpaka sasa siamini jamani...nimejaribu kumwelewesha kuwa ni panya lakini hataki kunielewa..jamani nimechanganyikiwa na sina tena hamu!