Sina confidence katika Mahusiano

mamkindi

Member
Mar 14, 2012
61
5
sina confidence katika mahusiano tangu my first lover alipoamua kuoa.na sasa imefika muda muafaka nahitaji kuwa serious ila najihisi hata mahusiano niliyonayo siyo imara
 
tupo weeeeeeeeengi kumbe ...
ukingatwa na nyoka.......ukiona unyasi ....?
am speechles kwa kweli..
pole mwaya naelewa tatizo lako sana ...
 
tupo weeeeeeeeengi kumbe ...
ukingatwa na nyoka.......ukiona unyasi ....?
am speechles kwa kweli..
pole mwaya naelewa tatizo lako sana ...
 
pole mrembo lakini sio sababu ya kukufanya usipende tena, sio wote wabaya nawazuri wapo,jaribu tena na usijimalize sana mwanzoni jaribu kumsoma mwenzio na jipe mda wakumuachia mpenzi wako moyo wako au nisema kumsabilia...muombe mungu kwa sana akupe mume mwenye kheir na wewe....
 
Kwanza pole,inapokutokea mara ya kwanza ukaachwa najua unavyojihisi,nataka nikuambie yote unayofikiri ni kinyume chake.Yaani kama unafikiri huna thamani naomba ujue unayo thamani kubwa sana na hakuna atakaeweza kuindoa mpaka wewe mwenyewe uamue.Pia hakuna atakaeyeweza kukupa furaha ila wewe mwenyewe,acha kufikiri furaha yako italetwa na boyfriend wako au utu wako utakamilishwa nae.Wewe uliumbwa ukiwa kamili na hauhitaji yoyote akukamilishe.Huenda na wao wanajihisi watupu kama wewe na wanahitaji kujazwa,utapoteza muda kuwawaza hawa watu.Niliwahi kutendwa na wanawake nikawa najichukia,lakini kumbe tatizo halikua kwangu bali kwao tangu nimegundua hilo ninajua ninachohitaji kwao,siwezi kuhitaji furaha au utu kutoka kwao kwani najua hawawezi kunipa!
 
tupo weeeeeeeeengi kumbe ...
ukingatwa na nyoka.......ukiona unyasi ....?
am speechles kwa kweli..
pole mwaya naelewa tatizo lako sana ...

thanks smile yani kweli ukiumwa na nyoka hata jani likikugusa unaogopa
 
Kwanza pole,inapokutokea mara ya kwanza ukaachwa najua unavyojihisi,nataka nikuambie yote unayofikiri ni kinyume chake.Yaani kama unafikiri huna thamani naomba ujue unayo thamani kubwa sana na hakuna atakaeweza kuindoa mpaka wewe mwenyewe uamue.Pia hakuna atakaeyeweza kukupa furaha ila wewe mwenyewe,acha kufikiri furaha yako italetwa na boyfriend wako au utu wako utakamilishwa nae.Wewe uliumbwa ukiwa kamili na hauhitaji yoyote akukamilishe.Huenda na wao wanajihisi watupu kama wewe na wanahitaji kujazwa,utapoteza muda kuwawaza hawa watu.Niliwahi kutendwa na wanawake nikawa najichukia,lakini kumbe tatizo halikua kwangu bali kwao tangu nimegundua hilo ninajua ninachohitaji kwao,siwezi kuhitaji furaha au utu kutoka kwao kwani najua hawawezi kunipa!

asante wangu kwa ushauri wako
 
Jamani!!! Always naambiwa kuna wanaume weengiii walotulia na kinacho itajika ni subira tu bt kila nikiingia JF matatizo yaleyale. Does it mean waoaji waamifu hawapo tena. My God.
 
pole mrembo lakini sio sababu ya kukufanya usipende tena, sio wote wabaya nawazuri wapo,jaribu tena na usijimalize sana mwanzoni jaribu kumsoma mwenzio na jipe mda wakumuachia mpenzi wako moyo wako au nisema kumsabilia...muombe mungu kwa sana akupe mume mwenye kheir na wewe....

tatizo ninapenda bila kufanya uchunguzi wa kina matokeo yake mahusiano hayadumu
 
Jamani wadogo zangu poleni na hata wewe Smile nakuandikia hii comment hebu ukisha isoma ifanyie kaz, sipend jins ambavyo mnateswa na nafsi zenu wenyewe wapenzi wangu.


kwanza suala la kujiamini katika mapenz linasababishwa na nini? ukisha pata jibu hapa basi mengine yote yatakuwa rahisi.
jibu ni kwamba kujiamini kunatokana na kuwa na mpenz ambaye ana kidhi au niseme ana meet vigezo unavyovitaka kwa kiasi kikubwa. kumbuka vipo vigezo ambavyo mume wa aina yeyote mtarajiwa anatakiwa awe navyo kama vile kujiamini, awe na nidhamu, awe muwajibikaji, awe na upendo, awe anajali, asiwe mtu asiyejua wajibu wake hasa katika mahusiano, awe mwenye kupenda familia. pia awe mtu mwenye msimamo na anaye mpenda au mcha mungu. hivi kwangu mimi ni vigezo vya lazima sana kwa mume mtarajiwa. sasa kama ukimpata mtu anaye meet haya kwa kiwango kikubwa definately utakuwa na confidence naye.

ishu ya kwamba ataniacha na kuoa mtu mwingine inakuja kama miongoni mwa hivi vigezo vikubwa hutaviconsoder. mathalani mtu mwenye upendo, anayejali, muwajibikaji, anayependa familia, mwenye msimamo na mcha mungu, basi atakuwa ni mtu ambaye anataka mke na mwenzi wa maisha na wala siyo wa kubip tu. inatakiwa sasa hivi mfike mahali ma boyfriend muachane nao na mtamani kuwa wenzi wa maisha. unajua ni kweli kuwa boyfriend wako anaweza kuishia kuwa mumeo na pia kuna wakati hili huwa halitimii na ii husababishwa na ma bf wengi kuchaguliwa kwa kigezo cha uhandsome na u much know kuliko vitu muhim nilivyovitaja hapo juu.

pia ifike mahali ninyi wadada muwe outstanding in such a way mtu akitoka na wewe aone kabisa you can make a good wife na siyo a good cinema or outing partiner. wadada mnajisahau sana kwenye hili try to be real msiwe ni watu kwa muonekano wa kwanza mnapendeza kwenda out, cinema na beach lakini muonekano wa ndani wa kuwa mama utakayelea familia yenye ndugu toka pande mbili na watoto mnaonekana hamtaweza. na hili linaonekanaga bila hata kuish na mtu. so take care sana na aina ya muonekano mlionao.

mwisho kabisa nasisitiza kusali na kumwachia mungu afanye, wewe timiza ya kwako na mengine yaliyo ya mungu mwachie. siwanyimi kutooka bali nawaambia ukweli manake ninawaskia sana hawa ambao huwa wanataka kuoa na wanakuja na hoja kuwa bint fulan simui kwasababu yule ni wa cinema tu au ni wa kula raha tu bufuture hana.

mwisho mod naomba ukurasa na mimi niwe nawafunda hawa wadada wa jf manake naumia sana kwa ajili yao.

nawasilisha
 
Last edited by a moderator:
mamkindi pole mwaya, jiamini make we co wa kwanza kuachwa. cha muhmu be careful na hawa viumbe wanaoitwa wanaume. mchunguze kwanza kabla hujaingia ktk mahucano.jiridhishe kuwa ndo mwanaume wa matarajio yako ndipo uanzishe mahucano. fuata na tumia akili sana kuliko moyo. otherwise utakuwa unaiona dunia imegeuka up-side down whn it comes to a r'ship. moyo huwa mdanganyifu kwel na ndo kiungo cha kwanza kuumia ukitendwa! fuata akil itakusaidia. ni muono wangu!
 
Last edited by a moderator:
Imencipate ur self frm the mantle slave garl' iyo cönfidence unaitengeneza mwenyewe' acha kujifunga kwenye gereza lako mwenyewe'
 
mamkindi pole mwaya, jiamini make we co wa kwanza kuachwa. Cha muhmu be careful na hawa viumbe wanaoitwa wanaume. Mchunguze kwanza kabla hujaingia ktk mahucano.jiridhishe kuwa ndo mwanaume wa matarajio yako ndipo uanzishe mahucano. Fuata na tumia akili sana kuliko moyo. Otherwise utakuwa unaiona dunia imegeuka up-side down whn it comes to a r'ship. Moyo huwa mdanganyifu kwel na ndo kiungo cha kwanza kuumia ukitendwa! Fuata akil itakusaidia. Ni muono wangu!

thanks kwa ushauri wako, nimefikia kipindi na mie nahitaji kuwa na familia ila hawa viumbe kwa kweli ni ngumu sana kutambua muongo na mkweli yote ni kumwachia mungu
 
jamani wadogo zangu poleni na hata wewe smile nakuandikia hii comment hebu ukisha isoma ifanyie kaz, sipend jins ambavyo mnateswa na nafsi zenu wenyewe wapenzi wangu.


Kwanza suala la kujiamini katika mapenz linasababishwa na nini? Ukisha pata jibu hapa basi mengine yote yatakuwa rahisi.
Jibu ni kwamba kujiamini kunatokana na kuwa na mpenz ambaye ana kidhi au niseme ana meet vigezo unavyovitaka kwa kiasi kikubwa. Kumbuka vipo vigezo ambavyo mume wa aina yeyote mtarajiwa anatakiwa awe navyo kama vile kujiamini, awe na nidhamu, awe muwajibikaji, awe na upendo, awe anajali, asiwe mtu asiyejua wajibu wake hasa katika mahusiano, awe mwenye kupenda familia. Pia awe mtu mwenye msimamo na anaye mpenda au mcha mungu. Hivi kwangu mimi ni vigezo vya lazima sana kwa mume mtarajiwa. Sasa kama ukimpata mtu anaye meet haya kwa kiwango kikubwa definately utakuwa na confidence naye.

Ishu ya kwamba ataniacha na kuoa mtu mwingine inakuja kama miongoni mwa hivi vigezo vikubwa hutaviconsoder. Mathalani mtu mwenye upendo, anayejali, muwajibikaji, anayependa familia, mwenye msimamo na mcha mungu, basi atakuwa ni mtu ambaye anataka mke na mwenzi wa maisha na wala siyo wa kubip tu. Inatakiwa sasa hivi mfike mahali ma boyfriend muachane nao na mtamani kuwa wenzi wa maisha. Unajua ni kweli kuwa boyfriend wako anaweza kuishia kuwa mumeo na pia kuna wakati hili huwa halitimii na ii husababishwa na ma bf wengi kuchaguliwa kwa kigezo cha uhandsome na u much know kuliko vitu muhim nilivyovitaja hapo juu.

Pia ifike mahali ninyi wadada muwe outstanding in such a way mtu akitoka na wewe aone kabisa you can make a good wife na siyo a good cinema or outing partiner. Wadada mnajisahau sana kwenye hili try to be real msiwe ni watu kwa muonekano wa kwanza mnapendeza kwenda out, cinema na beach lakini muonekano wa ndani wa kuwa mama utakayelea familia yenye ndugu toka pande mbili na watoto mnaonekana hamtaweza. Na hili linaonekanaga bila hata kuish na mtu. So take care sana na aina ya muonekano mlionao.

Mwisho kabisa nasisitiza kusali na kumwachia mungu afanye, wewe timiza ya kwako na mengine yaliyo ya mungu mwachie. Siwanyimi kutooka bali nawaambia ukweli manake ninawaskia sana hawa ambao huwa wanataka kuoa na wanakuja na hoja kuwa bint fulan simui kwasababu yule ni wa cinema tu au ni wa kula raha tu bufuture hana.

Mwisho mod naomba ukurasa na mimi niwe nawafunda hawa wadada wa jf manake naumia sana kwa ajili yao.

Nawasilisha

thanks sana kwa maoni yako na ushauri nitayafanyia kazi
 
Back
Top Bottom