Darlingtone
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 390
- 146
Jamani, wengi wameshawahi kuleta lalamiko yao hapa kuhusu Precision.... siku hizi tabia zao ndo hizo... yaani imekuwa kawaida, wanauza nafasi yako mbele ya macho yako.... halafu wezi... unacheck in mzigo, ukifika kwenye destination unakuta begi limefunguliwa....