Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Yaliyonipata katika kiwanja cha ndege cha KIA sitasahau. Nimekata tikiti ya kutoka KIA kwenda DAR kwa precision. Ndege ilitakiwa kuondoa KIA saa 4:30 asubuhi, reporting time saa tatu asubuhi, nime report kwa mda muafaka(saa 3 asubuhi) lakini afisa wa precision ananiambia ndege imejaa, nisubiri ndege ya saa tisa ama saa mbili na nusu usiku. Nimesononeshwa na hali hii. Hii inaonesha kuwa hatuna serikali na hata wajasiriamali wetu wamelewa monopoly. Karibu EAC wakenya na wanyarwanda waje watupe huduma maana sisi ni helpless na nchi iko katika autopilot.