Bundeskanzler
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 215
- 49
Kwa kudra za mwenyezi Mungu ninaamini ninyi wote ni wazima wa afya,
Jamani mwenzenu nipo Tabata Segerea kwa kaka yangu, kwa sasa nimeshindwa kila nikijaribu kujenga "network" ya jamaa na marafiki zangu wenye ajira niliokuwa nimesoma nao chuo ili itokee hata siku moja mtu aniambie "Ambakisye embu nipe CV yako niione" hakuna kitu,
ikitokea tumekutana facebook ama kwenye dalala ama njiani, tukipeana numbers za simu mawasiliano yanakuwa moto moto wiki moja tu baada ya hapo ukaribu unaanza kupungua, mpaka inafika wakati ninajiuliza sijui mimi nina gundu/nuski ama nini?
Jamani mwenzenu nipo Tabata Segerea kwa kaka yangu, kwa sasa nimeshindwa kila nikijaribu kujenga "network" ya jamaa na marafiki zangu wenye ajira niliokuwa nimesoma nao chuo ili itokee hata siku moja mtu aniambie "Ambakisye embu nipe CV yako niione" hakuna kitu,
ikitokea tumekutana facebook ama kwenye dalala ama njiani, tukipeana numbers za simu mawasiliano yanakuwa moto moto wiki moja tu baada ya hapo ukaribu unaanza kupungua, mpaka inafika wakati ninajiuliza sijui mimi nina gundu/nuski ama nini?