Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 309
au uncle jambathi?
Basi kama hujui maana ya mtu wa kazi nitaku PM maana yake!
Basi kama hujui maana ya mtu wa kazi nitaku PM maana yake!
au uncle jambathi?
Kuna jamaa ambaye yeye na rafiki yake wa kike hawakuwa wakifichana simu, jamaa anaweza kuondoka na simu ya demu na demu akaondoka na simu ya jamaa.
Mara jamaa akampiga marufuku kusoma message, kafuatiwa na kupokea simu, ikafuatiwa na marufuku ya kuigusa then kutoitumia hata kama demu ana shida. Demu akashtuka, na kwa vile alikuwa smart enough upstairs, alikuja kubamba kijinga sana kwamba jamaa ana demu mwingine. So be careful na mtu anayekuzuia hata kugusa simu yake.