From the bottom of my heart kuna mdada mmoja nimempenda na tangu tumekuwa marafiki (wa kawaida tu) zaidi ya mwaka sasa nimeona ana sifa za kuwa wife wangu na tumekuwa tunawasiliana vizuri kama marafiki wenye mwelekeo wa watu wanaoelekea kuwa wapenzi na yeye anafahamu wazi kuwa I am interested to her japo sijamtamkia tu . Sasa hivi karibuni kama wiki 2 zimepita (nakumbuka mara ya mwisho kuwasiliana nae yeye ndio alnipigia simu tukaongea vizuri tu na hakuna shida yoyote katika urafiki wetu huo) najaribu kuwasiliana nae bila mafanikio kwani nikipiga simu hapokei wala sms hajibu na hata nikikutana nae akiniona tu ananipishia mbali sasa nimeleweje ndo ananijaribu, niji-conside unsucessfull au nimpotezee tu? though nampenda