mvumilivu hula mbivu, wahengana kwel
na hilo la kutaka aniambie ukwel ndo ninalolifanya na kulitaka japo yy ananikwepaPole sana,
hiyo ni ishara kuwa hakuhitaji tena kimapenzi,na mapenzi hayahitaji kulazimishwa,
ila mi naona ni vizuri ukimtafuta na kumwuliza sababu ya yeye kuachana na wewe,
ili kama kuna kosa umemkosea pasipo wewe kulifahamu basi uweze kufahamishwa,
ili ilo kosa usiweze kulirudia tena katika mahusiano yako yajayo.
Lakin huko kufahamishwa kwako kusiwe sababu ya wewe kurudiana na wewe.
Kufahamu sababu ya kuachwa kwako kuna faida nyingi.
Thanx nakupenda pia,kama anakusumbua wapo wengi wanaoijua thamani yako na kuienzi!Nashkuru sana Eiyer ndo maana nakupenda, kwel kuishi na mtu hasiyejiamin ni kazi kubwa
kubali matokeo dada jamaa kashakumwaga jipange upya, vipi mlishachakachuana ?hatukugombana ila alikuwa mbali kidogo ya mji alivyorudi akawa amebadirika,lakini nitamtafuta nimsikie anasemaje ikishindikana basi nitaachia ngazi
Kuna marekebisho kidogo mm ni dada na si mkuu, pia asante kwa ushauri wako