- Thread starter
- #21
Ukitaka aongee toka na jamaa mwingine kisha jifanye ni rafiki yako wa zamani nadhani utajua anaongea au la!
mmh,
Ukitaka aongee toka na jamaa mwingine kisha jifanye ni rafiki yako wa zamani nadhani utajua anaongea au la!
nshakutana nae kama huyo,siku akiongea sanaaa na kucheka ujuwe anataka mchezo,mpige chini yaani wanauzi hao
Inategemea na wewe mwenyewe kama humsemeshi unataka aanze kuimba mashairi ya kina Fid Q? anzisha somo uone atakavyojibu!!!!
kweli umenena michelleTaratibu Chetuntu,mwanaume kuongea sana si sifa nzuri....Nenda nae taratibu,akikuzoea atakuwa comfortable kuzungumza zaidi na kufanya mambo mengi na wewe.Hata kama asipobadilika,hicho si kilema,unaweza jifunza kuishi nae vile alivyo.Best Wishes!
kwa huo muda mfupi wa kumake love utumie vizuri, jiachie kwake ucjibane, usifanye sex gizani maana watu hao hawachelewi kusema zima taa, msifie wakati wa kudo, chomekea na jokes labda atakuzoea.shosti acha tu , sina hata raha. Na yeye hivyo hivyo akimaliza tu busy na compture.
kwa huo muda mfupi wa kumake love utumie vizuri, jiachie kwake ucjibane, usifanye sex gizani maana watu hao hawachelewi kusema zima taa, msifie wakati wa kudo, chomekea na jokes labda atakuzoea.
thanx kwa ushauri, jaman hata story tu za kawaida tukitoka kazini ni kimya hadi umwambie kuoga au kula . Ukimpigia sim anauliza kuna nini? Mmh jaman.
shosti acha ku generalize bwana, labda wake yupo tofauti,hebu atuambie.
kweli umenena michelle
Chetuntu ufanyie kazi ushauri nasaha huu
dear nilitia pozi kidogo hapakutosha hadi nilimuonea huruma , baadhi ya maskul mate zako wanadai ndio alivyo.KWANI MY DEAR UNAISHI NAE???INAKUWAJE UMWAMBIE HAYO YA KUOGA NA KULA????
hiyo ya ukimpigia simu anakuuliza kuna nini inaweza kuwa ishara ya jambo lingine???SIO NAMNA YA KUMUULIZA MPENZI WAKO ANAPOPIGA SIMU?????
MPE POZI KIDOGO,TUONE MY DEAR,ISIJE IKAWA HAKU-FEEL KIVILE????LET HIM CHASE YOU KIDOGO,WE WILL SEE!
unataka aongee kuhusu nini sasa,,,,,,,,
dear nilitia pozi kidogo hapakutosha hadi nilimuonea huruma , baadhi ya maskul mate zako wanadai ndio alivyo.KWANI MY DEAR UNAISHI NAE???INAKUWAJE UMWAMBIE HAYO YA KUOGA NA KULA????
hiyo ya ukimpigia simu anakuuliza kuna nini inaweza kuwa ishara ya jambo lingine???SIO NAMNA YA KUMUULIZA MPENZI WAKO ANAPOPIGA SIMU?????
MPE POZI KIDOGO,TUONE MY DEAR,ISIJE IKAWA HAKU-FEEL KIVILE????LET HIM CHASE YOU KIDOGO,WE WILL SEE!
habari wana jamvi la malavidavi. Naombeni mchango wenu katika hili ,niko kwenye mahusiano na kijana mmoja ila haongei ni mkimya sana hajui hata kusema asante. Hata sim zake ni za kikazi tu.marafiki anao akipiga story ni kazi au bizness. Hata kunitöngoza aliongea kidogo tu. Hata marafiki hawamuelewi. Nifanyeje ananipenda sana na me pia nampenda. Naomba mwongozo tafadhali.
hapa ndugu umeongea point, tena ataongea na kubwatuka kabisa au anaweza asiongee tena (akamwaga kimya kimya)Ukitaka aongee toka na jamaa mwingine kisha jifanye ni rafiki yako wa zamani nadhani utajua anaongea au la!
thanx kwa ushauri, jaman hata story tu za kawaida tukitoka kazini ni kimya hadi umwambie kuoga au kula . Ukimpigia sim anauliza kuna nini? Mmh jaman.
huo ni athari za mfadhaiko ambao aliupata zamani, huleta kutokujiamini, na wakati mwingine hofu.
Msaidie kimawazo na kumchangamsha.