Hello,
Huyu msichana ni wiki kadhaa tumekuwa tukiwasiliana alishapewa habari zangu, jinsi nilivyo, na mambo mengine.
Ingawa mimi cjamuona
Cha ajabu amenipenda, ananipigia simu kama hana akili nzuri, sms za mapenzi na pole na kazi, kila la kheri sana, na anasema anataka tuoane baadaye kama Mungu akipanda
Naomba msaada wenu........
Huyu msichana ni wiki kadhaa tumekuwa tukiwasiliana alishapewa habari zangu, jinsi nilivyo, na mambo mengine.
Ingawa mimi cjamuona
Cha ajabu amenipenda, ananipigia simu kama hana akili nzuri, sms za mapenzi na pole na kazi, kila la kheri sana, na anasema anataka tuoane baadaye kama Mungu akipanda
Naomba msaada wenu........