BUCHANAGANDE
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,513
- 474
Bongo pameshachoka kaka.
Kama kweli unamaanisha ulichokiandika tulia, endelea kufanya utafiti na ukigundua mkanye tu huyo bwana mdogo vinginevyo utaharibu kila kitu hasa future ya huyo bwana mdogo wako.
Kama dogo atakuwa mbishi, mwambie aendelee na mapenzi yake na huyo X wako tu maana wewe nadhani hujadungua na kama umeshadungua, basi no way.
Kama kweli unamaanisha ulichokiandika tulia, endelea kufanya utafiti na ukigundua mkanye tu huyo bwana mdogo vinginevyo utaharibu kila kitu hasa future ya huyo bwana mdogo wako.
Kama dogo atakuwa mbishi, mwambie aendelee na mapenzi yake na huyo X wako tu maana wewe nadhani hujadungua na kama umeshadungua, basi no way.